ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Nmekuiliza wewe usihamishe magoli, before Manara Yanga isha chukua ubingwa mara 27 leo ndio aje kuisadia?Hayo maswali unaonaje angeulizwa na mapresenter walio host ile interview ambapo alisema amekuja Yanga atafanya kazi kama punda kuhakikisha mpaka wanachukua ubingwa?