Shabiki mwezangu wa Yanga unakubali Morrison kurudi Yanga?

Shabiki mwezangu wa Yanga unakubali Morrison kurudi Yanga?

Kama timu ilitumia mamilioni ya fedha kumshitaki yeye akawagaragaza, halafu mnamrudisha viongozi ni walewale , unadhani kuna mtu atamkoromea? Si atakuwa anapanga hadi kikosi mwenyewe na ule ujinga wa kusimama juu ya mipira badala ya kufunga aliokuwa amezuiwa kule simba si atarudia? Vipi kuhusu lile busha?
 
Na hata akienda ila hawezi kupata mapenzi ambayo alikuwa anapata akiwa Simba

Huku ilikuwa ni zaidi ya ajira alikuwa kama family alikubalika na pande zote wachezaji, benchi, hadi na mashabiki

Lakini akienda Yanga saizi lazima kutakuwa na matabaka kama ilivyokuwa kwa manara.

Manara kila siku akipost anasema anapata raha akiwa Yanga lakini hiyo kisaikolojia ni kinyume chake, kuna mengi yanayomsibu na kumkera ila mchizi anajitahidi kuya handle

Hofu yangu ipo kwa morrison je anaweza ku handle circumstances kama hizo?
 
Kama timu ilitumia mamilioni ya fedha kumshitaki yeye akawagaragaza, halafu mnamrudisha viongozi ni walewale , unadhani kuna mtu atamkoromea? Si atakuwa anapanga hadi kikosi mwenyewe na ule ujinga wa kusimama juu ya mipira badala ya kufunga aliokuwa amezuiwa kule simba si atarudia? Vipi kuhusu lile busha?
Yanga wanafalsafa za yesu

Samehe 7x70
 
Kweli ila endapo timu itakuwa na mwennendo mzuri

Ukimya wa mashabiki wa Yanga kutosema chochote kwa ujio wa manara umechangiwa na timu yao kuwa na perfomance inayo ridhisha

Lakini ukitaka kuona uadui wa kudumu upo, itokee siku simba kachukua huu ubingwa.

Nadhani hatua hiyo haitakuridhisha hata wewe, na hapo moja kwa moja manara atakuwa na moments ngumu ambazo hajawahi face kwenye carrier yake
Manara anahusika vipi na ubingwa ? Ni kocha au anacheza number ngapi mbona alikua Simba ile ya miaka 5 bila kombe lolote?
 
MO sio mzungu?
Acha sifa za kijinga wewe huyo Mo nae si mswahili tu? Kuna point umeiongea hapo juu ila tatzo umenyoosha kidole kwa Yanga tu wakati hyo tabia ya kufanya jambo hata km halina maslahi ili kumkomoa tu mtani ipo pande zote usiitenge timu yako unakumbuka kpnd mnamchukua huyu chizi? Ajib? Beno? Gadiel? Ndivyo zilivyo hz timu zote takataka hakuna yenye uafadhali waka ueledi binafsi Morrison angefungiwa vioo na timu zote aende zake yeye nani? Kuna wachezahi kibao wakali afrika hii anaweka benchi mpuuzi yule ila kwa kua tunawaza kukomoana Yanga watamchukua ila tupo mashabiki ambao hatujafurahia ila hatuna cha kufanya hatuchangii chochote pale
 
Hapa ndipo huwa nashindwa kuwaelewa Mashabiki wa Yanga .
1.Manara aliwatukana na kuwaita hamnazo yaani wajingawajinga tu isipokuwa baba yake na mstaafu Kikwete . Lakini baadae wakamsajili na kumtakasa kuwa ni mtu Safi.

2. Morisoni kawaendesha hadi cas na kuwaita matapeli wanaghushi saini .kawatia hasara kubwa ya kuendesha kesi takribani mwaka na miezi.Leo mtu anathubutu kukwambia hakuna adui wa kudumu kwenye mpira.

4. Mbaya zaidi morisoni kamchoma shabiki mwenzao na bisibisi , leo wamemsaliti mwenzao wanamsafisha morisoni kuwa ni bonge la mchezaji anastahili kuwa Yanga .

Kwa kifupi huu sasa ndiyo ule Ujinga aliokuwa akiusema Manara .Kwa hili Yanga hamna pa kutokea juu ya kauli ya Manara ya kuwaita wajinga.

Anyway , tusilaumu Sana juu ya hili Maana huwezi kuwa shabiki wa Yanga bila kuwa mjingamjinga.
 
Hapa ndipo huwa nashindwa kuwaelewa Mashabiki wa Yanga .
1.Manara aliwatukana na kuwaita hamnazo yaani wajingawajinga tu isipokuwa baba yake na mstaafu Kikwete . Lakini baadae wakamsajili na kumtakasa kuwa ni mtu Safi.

2. Morisoni kawaendesha hadi cas na kuwaita matapeli wanaghushi saini .kawatia hasara kubwa ya kuendesha kesi takribani mwaka na miezi.Leo mtu anathubutu kukwambia hakuna adui wa kudumu kwenye mpira.

4. Mbaya zaidi morisoni kamchoma shabiki mwenzao na bisibisi , leo wamemsaliti mwenzao wanamsafisha morisoni kuwa ni bonge la mchezaji anastahili kuwa Yanga .

Kwa kifupi huu sasa ndiyo ule Ujinga aliokuwa akiusema Manara .Kwa hili Yanga hamna pa kutokea juu ya kauli ya Manara ya kuwaita wajinga.

Anyway , tusilaumu Sana juu ya hili Maana huwezi kuwa shabiki wa Yanga bila kuwa mjingamjinga.
Hakuna adui wa kudumu katika maisha ya mpira mkuu

Huo uadui wako peleka huko kwingine ila sio kwenye mpira
 
J

yale maneno ya kuwa Yanga tuna tatizo la akili naliona linaukweli aisee.

Morrison kawapotezea muda viongozi wa Yanga.

Morrison kaiaibisha klabu ya Yanga kwa kuonekana klabu inamng'ang'ania wakati yeye kawakataa.

Morrison kaipotezea Yanga pesa kwa kufungua kesi CAS
Morrison kauumbua uongozi wa Yanga kuwa ni waongo na wababaishaji.

Mbali na hiyo tabia ya Morrison inajulikana kuwa ana tabia za hovyo. Hivi Africa nzima inamaana hakuja mchezaji anayemzidi au kulingana kipaji na uwezo Morrison?
Nenda katoe pesa zako pale klabuni ili tufanye usajili Wa wachezaji bora kutoka Afrika

Wenye pesa zao GSM wakimtaka,watamnunua na atakuja kucheza Yanga Mzee na wala usiwe na makasiriko sana na uzuri aliyemleta hapa nchini alikuwa ni Eng.Hersi mwenyewe

Don't panic and stay in your lane kid
 
Apokelewe Haraka, Huyo Anakuja Kufanya Kazi Hapo Haji Kulia
 
Mchukueni mtajifunza mengi kutokana na uzoefu wake kwenye fainali mbalimbali za klabu bingwa Africa na dunia.
 
Nenda katoe pesa zako pale klabuni ili tufanye usajili Wa wachezaji bora kutoka Afrika

Wenye pesa zao GSM wakimtaka,watamnunua na atakuja kucheza Yanga Mzee na wala usiwe na makasiriko sana na uzuri aliyemleta hapa nchini alikuwa ni Eng.Hersi mwenyewe

Don't panic and stay in your lane kid
Kwa akili za mashabiki kama wewe ni ngumu sana Yanga kupata mafanikio katika soka la Africa. Mashabiki wapumbavu na waswahili, huzalisha viongozi wapumbavu na waswahili pia.
 
Manara anahusika vipi na ubingwa ? Ni kocha au anacheza number ngapi mbona alikua Simba ile ya miaka 5 bila kombe lolote?
Hayo maswali unaonaje angeulizwa na mapresenter walio host ile interview ambapo alisema amekuja Yanga atafanya kazi kama punda kuhakikisha mpaka wanachukua ubingwa?
 
Acha sifa za kijinga wewe huyo Mo nae si mswahili tu? Kuna point umeiongea hapo juu ila tatzo umenyoosha kidole kwa Yanga tu wakati hyo tabia ya kufanya jambo hata km halina maslahi ili kumkomoa tu mtani ipo pande zote usiitenge timu yako unakumbuka kpnd mnamchukua huyu chizi? Ajib? Beno? Gadiel? Ndivyo zilivyo hz timu zote takataka hakuna yenye uafadhali waka ueledi binafsi Morrison angefungiwa vioo na timu zote aende zake yeye nani? Kuna wachezahi kibao wakali afrika hii anaweka benchi mpuuzi yule ila kwa kua tunawaza kukomoana Yanga watamchukua ila tupo mashabiki ambao hatujafurahia ila hatuna cha kufanya hatuchangii chochote pale
Hapana nimeongea kwa kuhusisha pande zote mbili kuwa wanayo hiyo kasumba

Ila mfano ndio nimetumia wa Yanga
 
Back
Top Bottom