Shabiki mwezangu wa Yanga unakubali Morrison kurudi Yanga?

Shabiki mwezangu wa Yanga unakubali Morrison kurudi Yanga?

Tanzania premier league ilianza kutambulika mwaka 1997 kutoka First Division Soccer League so figure za uto kubeba ubingwa wa Tanzania Premier League zianze kusomeka kuanzia mwaka 1997 na sio 1968 ambako ilikuwa inatambulika kama National League/First Division Soccer
The Tanzania Mainland Premier League (Swahili: Ligi Kuu Tanzania Bara) is the top-level professional football league in Tanzania and is administered by the Tanzania Football Federation. The league was formed in 1965 as the "National League". Its name was later changed to the "First Division Soccer League", and to the "Premier League" in 1997.

Jaribuni kuficha ujinga wenu hata kidogo
 
Tunahitaji wachezaji wenye viwango. Morrison ni mojawapo. Coach amemhitaji wewe shabiki unachotaka ni matokeo. Mengine waachie wachambuzi wa mchongo. Ati nidhamu hana wenye nidhamu kina Chico Ushindi umeona impact yao kwenye matokeo?

Tafuta timu ambayo ina mambo ya kizungu ndo ukashabikie na pia tafuta timu yenye makombe ya Africa ndo inakufaa ww na sio hii Yanga ya kiswahili

Pumbavuuuu
Kilichoifanya aondoke ni nini? Ameona Yanga ndio wajinga wajinga wakuwapiga pesa. Morrison si kacheza klabu bingwa, na Shirikisho CAF je umesikia tetesi yeyote hata ukihitajika na katimu kadogo nje ya Tanzania? Klabu inataka kufika mbali mashindano ya kimataifa halafu maono ya mbali hawana. Morrison angekuwa na kiwango, asingeishia kucheza Simba na Yanga pekee.
 
The Tanzania Mainland Premier League (Swahili: Ligi Kuu Tanzania Bara) is the top-level professional football league in Tanzania and is administered by the Tanzania Football Federation. The league was formed in 1965 as the "National League". Its name was later changed to the "First Division Soccer League", and to the "Premier League" in 1997.

Jaribuni kuficha ujinga wenu hata kidogo
Ujinga gani wakati tuzungumzia ligi kuu bara ilioanza mwaka 1997
We uto vipi
 
The Tanzania Mainland Premier League (Swahili: Ligi Kuu Tanzania Bara) is the top-level professional football league in Tanzania and is administered by the Tanzania Football Federation. The league was formed in 1965 as the "National League". Its name was later changed to the "First Division Soccer League", and to the "Premier League" in 1997.

Jaribuni kuficha ujinga wenu hata kidogo
Nihesabie hapo idadi ya makombe kwa miaka halafu tujue nani mjinga

1652512197563.png
 

Kilichoifanya aondoke ni nini? Ameona Yanga ndio wajinga wajinga wakuwapiga pesa. Morrison si kacheza klabu bingwa, na Shirikisho CAF je umesikia tetesi yeyote hata ukihitajika na katimu kadogo nje ya Tanzania? Klabu inataka kufika mbali mashindano ya kimataifa halafu maono ya mbali hawana. Morrison angekuwa na kiwango, asingeishia kucheza Simba na Yanga pekee.
Nilichogundua timu ya Yanga haikufai Mzee,tafuta timu ya maana ya kushabikia coz hii Yanga itakuua
 
Nilichogundua timu ya Yanga haikufai Mzee,tafuta timu ya maana ya kushabikia coz hii Yanga itakuua
Server za JF ni zero sana, hii comment yako imeniletea notification kuwa umeni quote halafu hapa inaonesha umem-quote mtu mwingine

1652513112512.png
 
Yan leo hii makolo wanawapa ushauri wa usajili Yanga!makolo siku morrison akikutana na nyie lazima awapasue bumbavu
 
Benard Morrison ni kama Ex aliyeondoka kwa dharau sana na kila tulipokutana nae alitudhihaki.

Je, unakubali kumpokea Morrison katika klabu yetu tena? Morrison anaenda kucheza nafasi ya nani?
Uyo mwizi wa magari nchi nyingi zimempiga ban,arudi kwao huko ghana akaokote makopo
 
Kama Kweli Amerudi Kwani Viongozi Wa Yanga Wa Shida Gani Aisee Na Huyu Mtu Ina Maana Africa Hii Yote Hawajaona Wachezaji Wengine Wazuri Kama Alivyo Yeye Na Tena Wengine Hata Kumzidi Mpaka Wamng'ang'anie Ivo.
Tatizo pesa ya kuwasajiri hao wakali club zetu hazina.
 
2009 yanga alichukua ubingwa?

1985 Yanga alichukua ubinngwa? na m,aji maji walichukua mwaka gani?

1989: Malindi ya Zanzibar ilichukua ubingwa lakini hapo kongole imeenda jangwani

Na 1992 kwa mara ya pili tena malindi walichukua ubingwa lakini takwimu zimeenda jangwani

Kuanzia 1993-1995 simba alichukua mfululizo lakini hapo kwenye data zako imeonesha 1993 alichukua yanga, yani hata kwenye website ya yanga hawajaandika hiyo kitu ambayo wewe umeiweka kama references hapa

1998 ubingwa ulichukuliwa na majimaji, lakini data zako kama kawaida zinasoma yanga. Yani utafikiri hii club inamilikiwa na wakenya wazee wa kusema kila kitu chao.

2002 Simba alichukua ubingwa, haya ebu angalia tena hizo data zako hapo zilizoandika yanga alichukua ubingwa 2002

Hii aibu wameikwepa hata yanga kwenye official site ebu cheki hapa mwenyewe

Hivi unafikiri Insigne alikuwa mjinga kususia huu mjadala? unafikiri hakuona hizo data zako?
1652515605949.png
 
Back
Top Bottom