Hussein Massanza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,016
- 2,195
Mnachosahau wengi, Morisson alipotua tu Simba alitangaza kuwa timu hiyo ni chuo kikuu cha mpira wa Tanzania.
Sasa kama ameshahitimu mafunzo yake chuoni kuna shida gani akirudi kazini? Kila ofisi inaruhusu mfanyakazi wake kwenda kuongeza ujuzi.
Welcome back BM3. Yanga loves you unconditionally.
Sasa kama ameshahitimu mafunzo yake chuoni kuna shida gani akirudi kazini? Kila ofisi inaruhusu mfanyakazi wake kwenda kuongeza ujuzi.
Welcome back BM3. Yanga loves you unconditionally.