inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Simba Mara ya kwanza kuchukua ubingwa wa Tanzania premier league ni lini!?Majimaji hakuchukua ubingwa wa Tanzania premier league?
Na kama alichukua nitajie mwaka wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba Mara ya kwanza kuchukua ubingwa wa Tanzania premier league ni lini!?Majimaji hakuchukua ubingwa wa Tanzania premier league?
Na kama alichukua nitajie mwaka wake
Maji maji hakuwahi kuchukua ubingwa wa Tanzania bara.Majimaji hakuchukua ubingwa wa Tanzania premier league?
Na kama alichukua nitajie mwaka wake
Sasa kama tunajadili kombe la ligi ya Tanzania bara basi tuhitimishe mjadala wewe weka hapa orodha yako ya waliochukua kombe la ligi ya Tanzania bara ili tuone Yanga imechukua mara ngapi upande wa ligi ya Tanzania bara.
Simba Mara ya kwanza kuchukua ubingwa wa Tanzania premier league ni lini!?
Malindi na KMKM wamekuaje ni mabingwa wa Tanzanian bara ilihali wanatokea Zanzibar? (Tanzania visiwani)
Je mwaka 2003 hakukuwa na bingwa wa Tanzania bara?
Well said, tuanze upya tuone nani anaenda kua bingwa wa kwanzaKwani Ndenge Nn? Basi Tuanzie Hapo Hapo Kwenye Kila Mmoja Ana Vikombe 22 Vya Ligi Af Tuone Hiki Cha 23 Nani Atakuwa Bwege Kushindwa Kukichukua.
Mkuu unapoambiwa reliable source uwe unaelewa, hivyo vi blog vilivyoandikwa kianzi vimeonesha udhaifu mkubwa sana, ebu angalia hapa source yako inazungumzia miaka ya belin conferenceMaji maji hakuwahi kuchukua ubingwa wa Tanzania bara.
credit
![]()
MIAKA 21 YA LIGI YA MUUNGANO. MIAKA 15 BILA LIGI YA MUUNGANO
NA PASCAL KABOMBE Ligi ya Muungano ilianza rasmi mwaka 1982 lengo ni kudumisha Muungano wetu na kutoa usawa wa kiuwakilishi katika mich...saidallymwandike.blogspot.com
Na
View attachment 2224206![]()
Maji maji FC.makala ilikotoka, hapa hilipo, inakoelekea maji maji yapania kutikisa nchi
NA ALEX MAPUNDA. Maji maji FC. Miongoni mwa Timu ...magwizamapunda.blogspot.com
Ndio hakukuwa na mshindi mdhamini wa ligi alijitoa july 3Je mwaka 2003 hakukuwa na bingwa wa Tanzania bara?
Nimekuuliza swali KMKM na Malindi ni timu za kutoka Tanzania bara? Kwanini nimekuomba listi ya waliochukua kombe la ligi ya Tanzania bara wewe umejumuisha na timu zisizotoka Tanzania bara? Nimekwambia niwekee mabingwa wa ligi ya Tanzania bara.Ndio hakukuwa na mshindi mdhamini wa ligi alijitoa july 3
Kama hawakujua wasingeandika 27. ili tuhitimishe mjadala huu kwamba walisahau, kuweka hiyo miaka au waliongopa kwa kusema 27 halafu kumbe hafiki. Basi wewe niwekee mabingwa wa ligi ya Tanzania bara. Unaweka ligi inayo include wakina Malindi na KMKM hapo haitoitwa tena ligi ya Tanzania bara. Weka orodha ya mabingwa wa ligi ya ligi ya Tanzania bara mzeeMkuu unapoambiwa reliable source uwe unaelewa, hivyo vi blog vilivyoandikwa kianzi vimeonesha udhaifu mkubwa sana, ebu angalia hapa source yako inazungumzia miaka ya belin conference
View attachment 2224236
Mimi hoja yangu kubwa ambayo wewe mpaka muda huu hujanijibu, ni kwamba zile takwimu za miaka ya ubingwa zilizo orodheshwa kupitia website ya yanga unataka kuniambia wao hawakujua hiyo miaka ambayo wewe unaitaja na pale haipo?
Au walijisahau?
hizo team zilikuja kushiriki hiyo ligi kwa lengo la kuwa recognized na fifa maana kwenye ligi yao ilikuwa haitambulikiMalindi na KMKM wamekuaje ni mabingwa wa Tanzanian bara ilihali wanatokea Zanzibar? (Tanzania visiwani)
Haikua Tanzania premier league
Kama hawakujua wasingeandika 27. ili tuhitimishe mjadala huu kwamba walisahau, kuweka hiyo miaka au waliongopa kwa kusema 27 halafu kumbe hafiki. Basi wewe niwekee mabingwa wa ligi ya Tanzania bara. Unaweka ligi inayo include wakina Malindi na KMKM hapo haitoitwa tena ligi ya Tanzania bara. Weka orodha ya mabingwa wa ligi ya ligi ya Tanzania bara mzee
Kombe alilochukua simba mwaka 2003 ilikuwa kombe la kitu gani?Ndio hakukuwa na mshindi mdhamini wa ligi alijitoa july 3
ilikuwa ni nini?Haikua Tanzania premier league
Nipe data lilikuwa kombe lenye udhamini wa nani?Kombe alilochukua simba mwaka 2003 ilikuwa kombe la kitu gani?
ilikuwa ni nini?
View attachment 2224263
Nihesabie hiyo miaka iliyoandikwa hapo kwa madai ya kuwa ni idadi ya vikombe kwa miaka tuone kama inafika 2
Kwahiyo walivyokuja kwenye ligi hao, je ligi ilibakia na jina hilo hilo la bara? Je mfumo upi ulitumika kuwafanya ushirika?hizo team zilikuja kushiriki hiyo ligi kwa lengo la kuwa recognized na fifa maana kwenye ligi yao ilikuwa haitambuliki