Shabiki wa simba tembea kifua mbele atakayesema timu mbovu au mwalimu hafai hajui mpira na sio simba!

Shabiki wa simba tembea kifua mbele atakayesema timu mbovu au mwalimu hafai hajui mpira na sio simba!

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Simba imepiga mpira mkubwa sana pale algeria tena kwenye mazingira magumu ya mvua na baridi uwanja kuteleza.
Mwalimu amepanga kikosi vizuri kabisa kwa mipango simba ilicheza kwa kujiamini magoli iliyofungwa ni makosa ya kawaida kwenye mchezo wa mpira ila kwa mwenye kujua mpira.......
Ila tu mwalimu sijui kwanini hampi nafasi mzamiru yassin kiungo punda....tunao ijua simba miaka yote huo ndio mwenendo wake plan ni kushinda mechi zote za mkapa ugenini anapata sare anavuka bila ngendembwe tofauti na kule bwawani mtera wao wamegegeduliwa mechi mbili wameanza kuhesabu vidole.....Simba kufungwa ugenini wala sio matokeo mageni wala simba hawajahi kusema labda wacheze na malaika wana simba mpeni sapoti mwalimu wenu jana kuna muda kulipigwa pasi nyingi sana na yule charls ahoua kidogo aelezwe nafasi mbili alizitupa moja ilikua kushindilia fataki ya pili ateba yupo kwenye nafasi ya kufunga akashindwa kutoa pasi.....mengine mwalimu atafanya masahihisho ila simba timu ipo tofauti na waleeeee kro.....kroo....kroo wanao ita mvua mto kihansi....Simba nguvu moja,
 
Simba sio ile timu ikishinda inaandaa supu au mabango, malengo ya hatua hii ni kufuzu makundi. Hii mechi tumepoteza kizembe sana kwa kukosa umakini pia Kuna makosa ya kujirudiarudia Kama Kibu kucheza Kama Yuko peke yake uwanjani, utoto wa Ahoua sub zisizo na Tija
Badala ya kutembea kifuabele kocha akae na wachezaji wake hasa Kibu, Barua awaeleze Kama hawawezi kufata maelekezo na kucheza Kama timu watakaa benchi mpaka watakapojitekebisha,, Ahoua Kama hawezi kubadilika Simba wamuuze mapema lakini uongozi umwambie Kama atufuzu apaki mizigo yake.
Kwa ukubwa wa Simba si sehemu ya kukuzia vipaji Bali ni sehemu ya kutwaa makombe.
 
Simba sio ile timu ikishinda inaandaa supu au mabango, malengo ya hatua hii ni kufuzu makundi. Hii mechi tumepoteza kizembe sana kwa kukosa umakini pia Kuna makosa ya kujirudiarudia Kama Kibu kucheza Kama Yuko peke yake uwanjani, utoto wa Ahoua sub zisizo na Tija
Badala ya kutembea kifuabele kocha akae na wachezaji wake hasa Kibu, Barua awaeleze Kama hawawezi kufata maelekezo na kucheza Kama timu watakaa benchi mpaka watakapojitekebisha,, Ahoua Kama hawezi kubadilika Simba wamuuze mapema lakini uongozi umwambie Kama atufuzu apaki mizigo yake.
Kwa ukubwa wa Simba si sehemu ya kukuzia vipaji Bali ni sehemu ya kutwaa makombe.
Umeandika kiukomavu sio kimhemko wa kocha hafai!
 
Uzi mrefu hizi kumbe unaelezea mashindano ya akina mama.
CAF walitaka wayafute
Ni mashindano ya ovyo sana
Munaburuza mkia mnapataje ujasiri wa kuongelea Simba nyie wazee wa masindano na shisha?
 

Attachments

  • 1000015612.jpg
    1000015612.jpg
    177.8 KB · Views: 8
Ndiyo mnageuzwa geuzwa kama chapati watu wanajipigia matobo. Nawahakikishia mnaondoka patupu bila hata point.
Wewe fuatilia hiyo rede
Huku Kwa wakubwa tuachie sisi tutajua namna ya kufuzu
 
Caf ilitaka kuyafuta haya mashindano manake timu za vigango vya kanisa katoliki na timu za bendi za muziki ndio zimejaa uko na kuna timu zinamilikiwa na jumuiya ndogo ndogo za kikristu chini ya kanisa katolilki sijaona timu iliyochini ya kanisa la sabato haya mashindano ni aibu sana kufungwaa au kushinda kwa penati inayofungwa na mlevi Kuhoa..
 
CAF ilitaka kuyafuta haya mashindano manake timu za vigango vya kanisa katoliki na timu za bendi za muziki ndio zimejaa uko na kuna timu zinamilikiwa na jumuiya ndogo ndogo za kikristu chini ya kanisa katolilki sijaona timu iliyochini ya kanisa la sabato haya mashindano ni aibu sana kufungwaa au kushinda kwa penati inayofungwa na mlevi Kuhoa
 
Simba sio ile timu ikishinda inaandaa supu au mabango, malengo ya hatua hii ni kufuzu makundi. Hii mechi tumepoteza kizembe sana kwa kukosa umakini pia Kuna makosa ya kujirudiarudia Kama Kibu kucheza Kama Yuko peke yake uwanjani, utoto wa Ahoua sub zisizo na Tija
Badala ya kutembea kifuabele kocha akae na wachezaji wake hasa Kibu, Barua awaeleze Kama hawawezi kufata maelekezo na kucheza Kama timu watakaa benchi mpaka watakapojitekebisha,, Ahoua Kama hawezi kubadilika Simba wamuuze mapema lakini uongozi umwambie Kama atufuzu apaki mizigo yake.
Kwa ukubwa wa Simba si sehemu ya kukuzia vipaji Bali ni sehemu ya kutwaa makombe.
Kwaani mmeshinda?? Mngeshinda si ingekuwa nongwa?? Hizo zote ni kujifariji tu baada ya kufungwa. Mpira mmezidiwa kila idara ila unaleta faraja utadhani hatujaangalia mpira dakika zote??
 
Uzi mrefu hizi kumbe unaelezea mashindano ya akina mama.
CAF walitaka wayafute
Ni mashindano ya ovyo sana
Kila siku mnaonyesha yale mabati yenu wenyewe mnasema medali hata kwenye masoko ya siso yamekataliwa maana yanashika kutu si kombe hilo hilo au kuna jingine!
 
Back
Top Bottom