TANZIA Shabiki wa Yanga afariki dunia kwa mshituko baada ya “kipigo” kutoka kwa Simba

TANZIA Shabiki wa Yanga afariki dunia kwa mshituko baada ya “kipigo” kutoka kwa Simba

Moderator ID yangu ya zamani ingebaki archives tu badala ya hivi. Kuepusha kuchanganya watu au kutumia vibaya
Maxence Melo tafadhali sana mkuu
@YingYang
Na wewe jamaa sasa utumie tu common sense, unatumiaje ID ya mtu mwingine? Kama ni mapenzi na Simba mbona mastaa wapo kibao tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii ya mod kutumika I'd ya member kucomment imekaaje kitaalam wakuu?
 
Kuna mchungaji mmoja yeye alisema mapema yuko upande wa washindi simba, na ikatokea simba kushinda. Inabidi mashabiki wawe wanapewa ushauri nasaha mapema kabla ya kuanza mchezo ili timu zao zikifungwa kusitokee madhara
 
Dah kifo kina milango mingi sana, imagine huyo dada utopolo imemuua.

Waliaminishwa mapema kuwa wanaenda kujipigia Simba, matokeo yake wachezaji wa simba wakaamua kuwasamehe kwa 2:0.
 
Dah kifo kina milango mingi sana, imagine huyo dada utopolo imemuua.

Waliaminishwa mapema kuwa wanaenda kujipigia Simba, matokeo yake wachezaji wa simba wakaamua kuwasamehe kwa 2:0.
Kama wanawake kweny upenz ndo hawawezi kqbisa...Kuna mmoja nlikaa nae alianza kutukana kuanzia dk ya 1 mpk zile 5 za nyongeza...anatukana wachezaji wa Yanga,refaree+ kocha wao
 
Shabiki wa Yanga aitwae Jane mkazi wa Bwilingu wilayani Chalinze amefariki dunia wakati akitazama mchezo wa jana kati ya Simba na Yanga.

Inadaiwa marehemu alifikwa na umauti wakati mpira ukiwa umebakiza dakika 10 kumalizika akawa analalamika mbona hawasawazishi ilihali muda unayoyoma.

Basi akapatwa na presha, akaanguka ghafla na hatimaye akapoteza maisha.

View attachment 2591343

Source:
East Africa Radio
Na wasipokuwa makini kama Yanga SC itamfunga Singida Big Star FC katika Nusu Fainali ya ASFC na Simba SC nayo ikamfunga Azam FC katika Nusu Fainali hiyo hiyo ya ASFC na wakakutana Tanga katika Fainali upo Uwezekano mkubwa wa Mashabiki wengi wa Yanga SC Kuaga Dunia ( Kufa ) kwani Yanga itaenda Kufungwa idadi ya Magoli mengi kuliko hata yale Mawili waliyofungwa Juzi kwa Mkapa Dar es Salaam katika NBC Premier League.
 
Back
Top Bottom