Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,258
- 10,014
FA au Azam CC haiko mbali, jitahidi mfike fainali mkutane na Kibu D kwa mara ya pili. Putin pia atakuwepo msije mkasema sijawaambia.Rip mwananchi
Tutakulipia kifo chako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FA au Azam CC haiko mbali, jitahidi mfike fainali mkutane na Kibu D kwa mara ya pili. Putin pia atakuwepo msije mkasema sijawaambia.Rip mwananchi
Tutakulipia kifo chako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii ya mod kutumika I'd ya member kucomment imekaaje kitaalam wakuu?Moderator ID yangu ya zamani ingebaki archives tu badala ya hivi. Kuepusha kuchanganya watu au kutumia vibaya
Maxence Melo tafadhali sana mkuu
@YingYang
Na wewe jamaa sasa utumie tu common sense, unatumiaje ID ya mtu mwingine? Kama ni mapenzi na Simba mbona mastaa wapo kibao tu
Jamaa anasema ni ID yake hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii ya mod kutumika I'd ya member kucomment imekaaje kitaalam wakuu?
Nimeshangaa sana. Watu wengine hata common sense tu wanakosa😂😃😐😍
Aione Chama Baleke
Imekuwa wilaya kimyakimyamkazi wa Bwilingu wilayani Chalinze
Kipi siyo cha kujidekeza!!??Mambo ya mpira ni kujiendekeza. Period.
Hakuna cha kustaajabia saikoloji.
Huyu marehemu kajitakia, unashangilia uto kweli?Pole kwa wafiwa
Ila sometimes muwe mnaangalia na timu za kushabikia jamani
Kama wanawake kweny upenz ndo hawawezi kqbisa...Kuna mmoja nlikaa nae alianza kutukana kuanzia dk ya 1 mpk zile 5 za nyongeza...anatukana wachezaji wa Yanga,refaree+ kocha waoDah kifo kina milango mingi sana, imagine huyo dada utopolo imemuua.
Waliaminishwa mapema kuwa wanaenda kujipigia Simba, matokeo yake wachezaji wa simba wakaamua kuwasamehe kwa 2:0.
Haswaaaa tunamuombea mungu ampokeeRip mwananchi
Tutakulipia kifo chako
Na wasipokuwa makini kama Yanga SC itamfunga Singida Big Star FC katika Nusu Fainali ya ASFC na Simba SC nayo ikamfunga Azam FC katika Nusu Fainali hiyo hiyo ya ASFC na wakakutana Tanga katika Fainali upo Uwezekano mkubwa wa Mashabiki wengi wa Yanga SC Kuaga Dunia ( Kufa ) kwani Yanga itaenda Kufungwa idadi ya Magoli mengi kuliko hata yale Mawili waliyofungwa Juzi kwa Mkapa Dar es Salaam katika NBC Premier League.Shabiki wa Yanga aitwae Jane mkazi wa Bwilingu wilayani Chalinze amefariki dunia wakati akitazama mchezo wa jana kati ya Simba na Yanga.
Inadaiwa marehemu alifikwa na umauti wakati mpira ukiwa umebakiza dakika 10 kumalizika akawa analalamika mbona hawasawazishi ilihali muda unayoyoma.
Basi akapatwa na presha, akaanguka ghafla na hatimaye akapoteza maisha.
View attachment 2591343
Source:
East Africa Radio