TANZIA Shabiki wa Yanga afariki dunia kwa mshituko baada ya “kipigo” kutoka kwa Simba

TANZIA Shabiki wa Yanga afariki dunia kwa mshituko baada ya “kipigo” kutoka kwa Simba

Tulipigwa 7-0 na Liver na Bado tunadunda
Lazima maisha mengine yaendelee, mpira unabaki kuwa burudani na utani.

Tusifanye ndiyo maisha , Kuna maisha baada ya zile dakika 90.

Ni udhaifu mkubwa sana kuanzia kwenye uwezo wa akili na mind set zetu.
 
Back
Top Bottom