This is... JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 5,050 Reaction score 5,204 Apr 18, 2023 #61 Kilimbatzz said: Tulipigwa 7-0 na Liver na Bado tunadunda Click to expand... Lazima maisha mengine yaendelee, mpira unabaki kuwa burudani na utani. Tusifanye ndiyo maisha , Kuna maisha baada ya zile dakika 90. Ni udhaifu mkubwa sana kuanzia kwenye uwezo wa akili na mind set zetu.
Kilimbatzz said: Tulipigwa 7-0 na Liver na Bado tunadunda Click to expand... Lazima maisha mengine yaendelee, mpira unabaki kuwa burudani na utani. Tusifanye ndiyo maisha , Kuna maisha baada ya zile dakika 90. Ni udhaifu mkubwa sana kuanzia kwenye uwezo wa akili na mind set zetu.
This is... JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 5,050 Reaction score 5,204 Apr 18, 2023 #62 Watu8 said: Sababu itakuwa ule muwa wa Kibu... Click to expand... Na lile fataki la Pili ambalo refa alizingua lingekubaliwa Basi Nahisi angekufa Mara 2. Kibu D mtu m-bad Sana!
Watu8 said: Sababu itakuwa ule muwa wa Kibu... Click to expand... Na lile fataki la Pili ambalo refa alizingua lingekubaliwa Basi Nahisi angekufa Mara 2. Kibu D mtu m-bad Sana!
This is... JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 5,050 Reaction score 5,204 Apr 18, 2023 #63 Bueno said: Nakazia hapo hapo, hivi gemu ijayo ni lini ? Click to expand... Juzi mliponyoka zilikuwa 4,Naomba FA tukutane tutawatandika 4 na hamtaamini. Yanga hakuna beki ya kuizuia fowadi ya Simba.
Bueno said: Nakazia hapo hapo, hivi gemu ijayo ni lini ? Click to expand... Juzi mliponyoka zilikuwa 4,Naomba FA tukutane tutawatandika 4 na hamtaamini. Yanga hakuna beki ya kuizuia fowadi ya Simba.
M Msumb JF-Expert Member Joined Oct 18, 2022 Posts 3,452 Reaction score 5,372 Apr 18, 2023 #64 Duuu aiseee, apumzike kwa amani