Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Mshamba tu.tabia mbaya kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana sipo popote najaribu kuweka mambo sawa.ili siku ikichomwa ya mbowe akikamatwa mumchangie tenaBora kuchoma picha kuliko kuua ama kudhuru mtu!!
Nyie mmefanya mangapi ya kikatili?
Hana kosa RC wa SimiyuYule RC mfiraji hukumu yake lini?
Unawashwa ukiwa wapi?😂Hongera sana Chaula. Sasa kamtukane na Baba Yao maana tuna freedom of speech.
Chadema mna moyo wa utu kweli.View attachment 3036835
Nikiwa ni Miongoni mwa Wadau walioendesha kampeni ya kuhamasisha michango (JF WING) ya kumsaidia Shujaa Shadrak kulipa faini ya Mahakama, kutokana na hukumu ya Mahakama kwa kosa la kuipiga kiberiti karatasi iliyodaiwa kuwa ni picha ya Rais wa Tanzania Nawashukuru wote mliotoa michango ya Hali na Mali ili kumuokoa kijana huyu kwenye Jela ya Uonevu .
Pamoja na kuchoma picha hiyo, Shadrak alituhumiwa kulalamikia Ugumu mkali wa Maisha Nchini Tanzania, jambo ambalo Viongozi walioshiba waliona ni Uchochezi.
Kwa niaba ya Waratibu wote wa Michango kote mitandaoni nasema asanteni wote mliomrudishia tena Uhuru wake kijana huyu, hii ni kwa sababu mmetenda kama vile alivyoagiza Mungu, na kwa sababu hii Mungu atawarudishia mara 100 zaidi.
View attachment 3036837
Tukio hili ni Funzo la Faraja kwa wote wanaoonewa kutokana na "udogo" wao kwenye jamii na ni fundisho kwa viongozi wanoko, kwamba, si kila matakwa yao yaweza kutimia, kuna mengine yatakataliwa na Mungu na visasi vyake vitawarudia wenyewe haraka iwezekanavyo.
Sasa ni dhahiri kwamba HAKUNA MAHALI POPOTE KWENYE DUNIA HII AMBAKO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU
Kwahiyo RC kulawiti ni jambo la kawaida kabisa?Hana kosa RC wa Simiyu
Hajalawiti wala kumgusa. Tusubiri kesi halafu tutarudu kwenye THREAD hiiKwahiyo RC kulawiti ni jambo la kawaida kabisa?
Kwahiyo binti muongo hakufirwa kwenye gari?Hajalawiti wala kumgusa. Tusubiri kesi halafu tutarudu kwenye THREAD hii
RC Nawanda kategewa na wabaya wake na kajaa ndani ya 18. Hakuna mwanamke aliyefirwa atajitangaza kuwa kafirwa. Ni kitendo cha aibu.Kwahiyo binti muongo hakufirwa kwenye gari?
Yule mwalimu kule kusini ?RC Nawanda kategewa na wabaya wake na kajaa ndani ya 18. Hakuna mwanamke aliyefirwa atajitangaza kuwa kafirwa. Ni kitendo cha aibu.
Huyu walimseti tu wabaya wake
Mwalimu gani?Yule mwalimu kule kusini ?
Niliwaambieni RC Nawanda hana kesi yeyote.RC Nawanda kategewa na wabaya wake na kajaa ndani ya 18. Hakuna mwanamke aliyefirwa atajitangaza kuwa kafirwa. Ni kitendo cha aibu.
Huyu walimseti tu wabaya wake
Yuko huru, Mahakama ilikuta hana kosaYule RC mfiraji hukumu yake lini?
Aliefi.rwa anasemaje?Yuko huru, Mahakama ilikuta hana kosa