Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Atakayeelewa aelewe na asiyeelewa basi aendelee na ukiziwi wakeHuku jamiiforum ni kama unaweleza pronzi wa bahari wa ccm. Hakuna mashiko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakayeelewa aelewe na asiyeelewa basi aendelee na ukiziwi wakeHuku jamiiforum ni kama unaweleza pronzi wa bahari wa ccm. Hakuna mashiko
Quite irrelevant.Mimi siungi mkono mtu kukaa jela kwa kosa kama hili,lakini alichokifanya Artist Chaula sio jambo la kupongezwa. Hata kama ni freedom of speech,hii imezidi.
Leo wanaanza kuchoma picha za Viongozi Ili kufikisha ujumbe,wanashangiliwa na jela wanatolewa.
Kesho watachoma ofisi za umma kufikisha ujumbe.
Wakiona bado hawasikilizwi watajichoma moto wenyewe kufikisha ujumbe(yolsa).
Hiyo ndio freedom of speech,ukimruhusu mtu aingie chumbani kwako bila kugonga hodi next time utamkuta kitandani kwako amelala.
Picha? Daah!Umeongea point,. Freedom of speech isiwe ni chanzo Cha dharau Kwa wakubwa wako
Pesa hizo haramu zisichanganywe na kodi zetu zipelekwe CCM wakafanyie kampeni.View attachment 3036835
Nikiwa ni Miongoni mwa Wadau walioendesha kampeni ya kuhamasisha michango (JF WING) ya kumsaidia Shujaa Shadrak kulipa faini ya Mahakama, kutokana na hukumu ya Mahakama kwa kosa la kuipiga kiberiti karatasi iliyodaiwa kuwa ni picha ya Rais wa Tanzania Nawashukuru wote mliotoa michango ya Hali na Mali ili kumuokoa kijana huyu kwenye Jela ya Uonevu .
Pamoja na kuchoma picha hiyo, Shadrak alituhumiwa kulalamikia Ugumu mkali wa Maisha Nchini Tanzania, jambo ambalo Viongozi walioshiba waliona ni Uchochezi.
Kwa niaba ya Waratibu wote wa Michango kote mitandaoni nasema asanteni wote mliomrudishia tena Uhuru wake kijana huyu, hii ni kwa sababu mmetenda kama vile alivyoagiza Mungu, na kwa sababu hii Mungu atawarudishia mara 100 zaidi.
View attachment 3036837
Tukio hili ni Funzo la Faraja kwa wote wanaoonewa kutokana na "udogo" wao kwenye jamii na ni fundisho kwa viongozi wanoko, kwamba, si kila matakwa yao yaweza kutimia, kuna mengine yatakataliwa na Mungu na visasi vyake vitawarudia wenyewe haraka iwezekanavyo.
Sasa ni dhahiri kwamba HAKUNA MAHALI POPOTE KWENYE DUNIA HII AMBAKO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU
Nothing to add, point taken 🫡Mimi siungi mkono mtu kukaa jela kwa kosa kama hili,lakini alichokifanya Artist Chaula sio jambo la kupongezwa. Hata kama ni freedom of speech,hii imezidi.
Leo wanaanza kuchoma picha za Viongozi Ili kufikisha ujumbe,wanashangiliwa na jela wanatolewa.
Kesho watachoma ofisi za umma kufikisha ujumbe.
Wakiona bado hawasikilizwi watajichoma moto wenyewe kufikisha ujumbe(yolsa).
Hiyo ndio freedom of speech,ukimruhusu mtu aingie chumbani kwako bila kugonga hodi next time utamkuta kitandani kwako amelala.
Wewe ndo mpuuzi na inaonekana either huna akili au unaandika ujinga kwa makusudi kulinda “status quo”Dogo mpuuzi sana huyo,kama hawezi kuheshimu kama rais amheshimu kama mtu aliyemzidi umri na anayefanana umri hata pengine kumzidi mama yake.
Sio kweli,
Africa sehemu nyingi zisingekuwa na viongozi wanawake
Leo hii Ufaransa bado ingeendelea kuwa na wafalme miungu watu
Marekani isingeachana na absolute monarchy.
Sio kweli,
Africa sehemu nyingi zisingekuwa na viongozi wanawake
Leo hii Ufaransa bado ingeendelea kuwa na wafalme miungu watu
Marekani isingeachana na absolute monarchy.
Sasa kama mtu elimu yake ni ndogo na hana taaluma yoyote tumpe nn kama sio boda boda au Sindano ashone viatuPamoja na wazo lako, Tunapaswa kuilazimisha Serikali kuhakikisha Maisha ya Wananchi wote wa Tanzania yanakuwa Bora na yenye hadhi ya Binadamu, hatuwezi kuwakwamua watu wetu kwa kuwanunulia Bodaboda
Hatuna Rais tunamcheza since like na mipasho tu, akili yake ni kama ya Baba levo na MwijakuRaisi anajisikiaje 😝😝😝
Yule RC mfiraji hukumu yake lini?Mimi siungi mkono mtu kukaa jela kwa kosa kama hili,lakini alichokifanya Artist Chaula sio jambo la kupongezwa. Hata kama ni freedom of speech,hii imezidi.
Leo wanaanza kuchoma picha za Viongozi Ili kufikisha ujumbe,wanashangiliwa na jela wanatolewa.
Kesho watachoma ofisi za umma kufikisha ujumbe.
Wakiona bado hawasikilizwi watajichoma moto wenyewe kufikisha ujumbe(yolsa).
Hiyo ndio freedom of speech,ukimruhusu mtu aingie chumbani kwako bila kugonga hodi next time utamkuta kitandani kwako amelala.