Shadrack Chaula, aliyechoma picha ya Rais Samia aachiwa kutoka Gerezani
Mimi siungi mkono mtu kukaa jela kwa kosa kama hili,lakini alichokifanya Artist Chaula sio jambo la kupongezwa. Hata kama ni freedom of speech,hii imezidi.

Leo wanaanza kuchoma picha za Viongozi Ili kufikisha ujumbe,wanashangiliwa na jela wanatolewa.
Kesho watachoma ofisi za umma kufikisha ujumbe.

Wakiona bado hawasikilizwi watajichoma moto wenyewe kufikisha ujumbe(yolsa).
Hiyo ndio freedom of speech,ukimruhusu mtu aingie chumbani kwako bila kugonga hodi next time utamkuta kitandani kwako amelala.
Quite irrelevant.
 
View attachment 3036835

Nikiwa ni Miongoni mwa Wadau walioendesha kampeni ya kuhamasisha michango (JF WING) ya kumsaidia Shujaa Shadrak kulipa faini ya Mahakama, kutokana na hukumu ya Mahakama kwa kosa la kuipiga kiberiti karatasi iliyodaiwa kuwa ni picha ya Rais wa Tanzania Nawashukuru wote mliotoa michango ya Hali na Mali ili kumuokoa kijana huyu kwenye Jela ya Uonevu .

Pamoja na kuchoma picha hiyo, Shadrak alituhumiwa kulalamikia Ugumu mkali wa Maisha Nchini Tanzania, jambo ambalo Viongozi walioshiba waliona ni Uchochezi.

Kwa niaba ya Waratibu wote wa Michango kote mitandaoni nasema asanteni wote mliomrudishia tena Uhuru wake kijana huyu, hii ni kwa sababu mmetenda kama vile alivyoagiza Mungu, na kwa sababu hii Mungu atawarudishia mara 100 zaidi.

View attachment 3036837

Tukio hili ni Funzo la Faraja kwa wote wanaoonewa kutokana na "udogo" wao kwenye jamii na ni fundisho kwa viongozi wanoko, kwamba, si kila matakwa yao yaweza kutimia, kuna mengine yatakataliwa na Mungu na visasi vyake vitawarudia wenyewe haraka iwezekanavyo.

Sasa ni dhahiri kwamba HAKUNA MAHALI POPOTE KWENYE DUNIA HII AMBAKO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU
Pesa hizo haramu zisichanganywe na kodi zetu zipelekwe CCM wakafanyie kampeni.
 
Mimi siungi mkono mtu kukaa jela kwa kosa kama hili,lakini alichokifanya Artist Chaula sio jambo la kupongezwa. Hata kama ni freedom of speech,hii imezidi.

Leo wanaanza kuchoma picha za Viongozi Ili kufikisha ujumbe,wanashangiliwa na jela wanatolewa.
Kesho watachoma ofisi za umma kufikisha ujumbe.

Wakiona bado hawasikilizwi watajichoma moto wenyewe kufikisha ujumbe(yolsa).
Hiyo ndio freedom of speech,ukimruhusu mtu aingie chumbani kwako bila kugonga hodi next time utamkuta kitandani kwako amelala.
Nothing to add, point taken 🫡
 
Dogo mpuuzi sana huyo,kama hawezi kuheshimu kama rais amheshimu kama mtu aliyemzidi umri na anayefanana umri hata pengine kumzidi mama yake.
Wewe ndo mpuuzi na inaonekana either huna akili au unaandika ujinga kwa makusudi kulinda “status quo”

Uongozi wa umma hauko hivyo.

Huyo ni mtumishi wa umma na analipwa kwa kutumia kodi zetu.

Kuchoma picha yake siyo sawa na wewe kuchoma ya mamako.
 
Sio kweli,
Africa sehemu nyingi zisingekuwa na viongozi wanawake
Leo hii Ufaransa bado ingeendelea kuwa na wafalme miungu watu
Marekani isingeachana na absolute monarchy.

Na Wamarekani wasingekimbia na demokrasia yao mfukoni kutoka Iraq na Afghanistan!

➡️➡️➡️ Hukunielewa. Ungetuliza akili ukanielewa usingesema ulichosema......
 
Sio kweli,
Africa sehemu nyingi zisingekuwa na viongozi wanawake
Leo hii Ufaransa bado ingeendelea kuwa na wafalme miungu watu
Marekani isingeachana na absolute monarchy.

Na Wamarekani wasingekimbia na demokrasia yao mfukoni kutoka Iraq na Afghanistan!

➡️➡️➡️ Hukunielewa. Ungetuliza akili ukanielewa usingesema ulichosema......
 
Kwa hiyo chura kiziwi anajisikiaje?

Nmeona jana hata BBC engelish wameandika
 
Pamoja na wazo lako, Tunapaswa kuilazimisha Serikali kuhakikisha Maisha ya Wananchi wote wa Tanzania yanakuwa Bora na yenye hadhi ya Binadamu, hatuwezi kuwakwamua watu wetu kwa kuwanunulia Bodaboda
Sasa kama mtu elimu yake ni ndogo na hana taaluma yoyote tumpe nn kama sio boda boda au Sindano ashone viatu
 
Hivi huyu chalii alihukumiwa kwa kosa gani? Kama kuna mtu anaweza kushare hapa nakala ya hati ya mashtaka au hukumu yake nitashukuru
 
Mimi siungi mkono mtu kukaa jela kwa kosa kama hili,lakini alichokifanya Artist Chaula sio jambo la kupongezwa. Hata kama ni freedom of speech,hii imezidi.

Leo wanaanza kuchoma picha za Viongozi Ili kufikisha ujumbe,wanashangiliwa na jela wanatolewa.
Kesho watachoma ofisi za umma kufikisha ujumbe.

Wakiona bado hawasikilizwi watajichoma moto wenyewe kufikisha ujumbe(yolsa).
Hiyo ndio freedom of speech,ukimruhusu mtu aingie chumbani kwako bila kugonga hodi next time utamkuta kitandani kwako amelala.
Yule RC mfiraji hukumu yake lini?
 
Back
Top Bottom