Shadrack Chaula, aliyechoma picha ya Rais Samia aachiwa kutoka Gerezani
Shadrack Chaula (24) ameachiwa huru leo Julai 8, 2024 baada ya kulipa faini ya Tsh. Milioni 5 ikiwa ni siku chache tangu alipohukumiwa kifungo cha Miaka Miwili jela au kulipa Faini hiyo kwa kosa la kutoa taarifa za uongo Mtandaoni.

Chaula ambaye ni Msanii wa Sanaa ya Uchoraji, Julai 2, 2024 alionekana kupitia kipande cha video akichoma moto picha wakili wakisema kuwa hakuna sheria iliyovunjwa katika kuchoma picha hiyo.
Safi sana. Huyo dogo kuna uwezekano ana karama ya uongozi.
 
Kumbe hata picha aliichora mwenyewe? Kumbe ni mali yake?

Sasa kosa lake liko wapi hapo?

Hayo matusi ni yepi hasa aliyotukanwa huyo Samia?

Na ni Samia gani, huyu Rais au ni rafiki tu wa huyu dogo?

Huu uonevu wa CCM lazima ukome.

Na hiyo pesa TZS 5,000,000 lazima irudi kwa mzee Chaula itumike kwa ajili ya familia

Hawawezi kumwibia huyu dogo kwa ujambazi wa mahakama!!
 
Mimi siungi mkono mtu kukaa jela kwa kosa kama hili,lakini alichokifanya Artist Chaula sio jambo la kupongezwa. Hata kama ni freedom of speech,hii imezidi.

Leo wanaanza kuchoma picha za Viongozi Ili kufikisha ujumbe,wanashangiliwa na jela wanatolewa.
Kesho watachoma ofisi za umma kufikisha ujumbe.

Wakiona bado hawasikilizwi watajichoma moto wenyewe kufikisha ujumbe(yolsa).
Hiyo ndio freedom of speech,ukimruhusu mtu aingie chumbani kwako bila kugonga hodi next time utamkuta kitandani kwako amelala.
 
Mimi siungi mkono mtu kukaa jela kwa kosa kama hili,lakini alichokifanya Artist Chaula sio jambo la kupongezwa.
Hata kama ni freedom speech,hii imezidi.
Leo wanaanza kuchoma picha za Viongozi Ili kufikisha ujumbe,wanashangiliwa na jela wanatolewa.
Kesho watachoma ofisi za umma kufikisha ujumbe.
Wakiona bado hawasikilizwi watajichoma moto wenyewe kufikisha ujumbe(yolsa).
Hiyo ndio freedom of speech,ukimruhusu mtu aingie chumbani kwako bila kugonga hodi next time utamkuta kitandani kwako amelala.
Hakika kakosea
 
Wangemuacha anyee debe hata mwezi mmoja akili imkae sawa.
 
Mimi siungi mkono mtu kukaa jela kwa kosa kama hili,lakini alichokifanya Artist Chaula sio jambo la kupongezwa.
Hata kama ni freedom of speech,hii imezidi.
Leo wanaanza kuchoma picha za Viongozi Ili kufikisha ujumbe,wanashangiliwa na jela wanatolewa.
Kesho watachoma ofisi za umma kufikisha ujumbe.
Wakiona bado hawasikilizwi watajichoma moto wenyewe kufikisha ujumbe(yolsa).
Hiyo ndio freedom of speech,ukimruhusu mtu aingie chumbani kwako bila kugonga hodi next time utamkuta kitandani kwako amelala.
Sasa kuchoma ofisi si ni kosa la jinai? CCM wanapenda mabumunda kama nyinyi...mtu una uwezo wa kusoma na kuandika tu baasi
. Ni kama vile umejaza mavi kwenye ubongo
 
Mbona picha za Rais zinachomwa Kila cku mama ntilie wakiwashia moto Kwa kutumia magazeti yenye picha yake?

Mbona hawakamatwi?
Mbona picha za Rais zinachomwa Kila cku mama ntilie wakiwashia moto Kwa kutumia magazeti yenye picha yake?

Mbona hawakamatwi?

Serious Uonevu huu!
Mimi nadhani dhumuni la adhabu ni kukomesha kosa kama Hilo lisifanyike tena.
Chaula amejirekodi alichokifanya na kukituma mtandaoni.
Maneno yake na vitendo vyake vinaweza kusababisha chuki,taharuki na hasira kwa umma.
Tatizo mnadhani watu wote hapa Nchini hawampendi Rais,na wamefurahishwa na picha yake kuchomwa,sio kweli.
 
Shadrack Chaula (24) ameachiwa huru leo Julai 8, 2024 baada ya kulipa faini ya Tsh. Milioni 5 ikiwa ni siku chache tangu alipohukumiwa kifungo cha Miaka Miwili jela au kulipa Faini hiyo kwa kosa la kutoa taarifa za uongo Mtandaoni.
Nadhani kabla ya kukata rufaa mungempelea kwa Daktari bingwa wa magonjwa ya akili akampime afya ya akili.

Uwezekano kwamba hajui kama alifungwa na hajui kama ameachiliwa kwa faini ni mkubwa. Na yawezekana anaweza kufanya MAKUBWA kuliko haya
 
Sasa kuchoma ofisi si ni kosa la jinai? CCM wanapenda mabumunda kama nyinyi...mtu una uwezo wa kusoma na kuandika tu baasi
. Ni kama vile umejaza mavi kwenye ubongo
Unataka kuniambia Arson ni kosa la madai?
Wale jamaa walichoma kituo Cha polisi kawe wamefungwa miaka mingapi?
Mnaiharibu sana hii platform na maneno yenu ya kejeli wakati hakuna chochote unachojua.
Stupid.
 
Back
Top Bottom