mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Siku akija kuchoma ya mbowe.mumchangie hivyo hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wa mkoa wa mbeya RC JUMA HOMERA kwani anasemaje mpaka??? muda huu🤔🤔🤔 uyo inabidi akamatwe tena awekwe ndani ajifunze kuwa sio vizuri kuchoma picha hadharani kwani angechomea vichochoroni nani angemkamataShadrack Chaula (24) ameachiwa huru leo Julai 8, 2024 baada ya kulipa faini ya Tsh. Milioni 5 ikiwa ni siku chache tangu alipohukumiwa kifungo cha Miaka Miwili jela au kulipa Faini hiyo kwa kosa la kutoa taarifa za uongo Mtandaoni.
a utata wa kisheria, huku baadhi ya mawakili wakisema kuwa hakuna sheria iliyovunjwa katika kuchoma picha hiyo.
yupi huyo?Hongera sana Chaula. Sasa kamtukane na Baba Yao maana tuna freedom of speech.
Wananchi wanajaribu kuonesha chuki yao juu ya yuleShadrack Chaula (24) ameachiwa huru leo Julai 8, 2024 baada ya kulipa faini ya Tsh. Milioni 5 ikiwa ni siku chache tangu alipohukumiwa kifungo cha Miaka Miwili jela au kulipa Faini hiyo kwa kosa la kutoa taarifa za uongo Mtandaoni.
Hata hujui unaandika kuhusu nini...Mimi siungi mkono mtu kukaa jela kwa kosa kama hili,lakini alichokifanya Artist Chaula sio jambo la kupongezwa.
Hata kama ni freedom of speech,hii imezidi.
Leo wanaanza kuchoma picha za Viongozi Ili kufikisha ujumbe,wanashangiliwa na jela wanatolewa.
Kesho watachoma ofisi za umma kufikisha ujumbe.
Wakiona bado hawasikilizwi watajichoma moto wenyewe kufikisha ujumbe(yolsa).
Hiyo ndio freedom of speech,ukimruhusu mtu aingie chumbani kwako bila kugonga hodi next time utamkuta kitandani kwako amelala.
InashangazaKwa wazee wa law ilikuwaje huyu chalii akapata hukumu fasta sana...kuliko hata aliyeuwa hadharani..!????
Sio kweli,"Demokrasia nzuri ni ile inayoheshimu mila, desturi na tamaduni za jamii husika"
SYB, 2024 😁🖐
Sasa kama wewe umeamua kuliwa makalio yako huyo Samia atakuzuiaje? Mitaani mashoga tunawaona je tunachukua hatua gani?.Hata hujui unaandika kuhusu nini...
Hebu tazama na sikiliza vizuri hiyo video ya huyu dogo...
Hakuna tusi lolote hapo..
Anachopaswa kufanya huyo tunayeambiwa ni "Rais Samia" ni kujitokeza na kujitetea kwa kujibu hoja za kijana, mwananchi wake...
Huyu anayeitwa "Rais Samia" katika video hiyo anatuhumiwa kuchochea vitendo vya ushoga na usagaji . Ameshindwa kusimama na kulitetea taifa lake..
Raia wake huyu kachoshwa na hali hii. Hatamani hata kuiona picha yake hiyo (ambayo in fact kaichora mwenyewe). Hadaiwi na mtu...
Kosa lake liko wapi hapo
View attachment 3036798
Huyu Rais Samia na watu wake na CCM yake yote wanasumbuliwa na ugonjwa unaoitwa kwa kimombo kama "FEAR OF REJECTION"...
Wana hofu kubwa na hatima yao kwa sababu ya kukataliwa na wananchi. Wanatumia nguvu kulazimisha kukubalika na kupendwa..!
Hilo haliwezekani!
Hao mashoga na wasagaji mlitaka huyo "Rais Samia" awafanye nini?Hata hujui unaandika kuhusu nini...
Hebu tazama na sikiliza vizuri hiyo video ya huyu dogo...
Hakuna tusi lolote hapo..
Anachopaswa kufanya huyo tunayeambiwa ni "Rais Samia" ni kujitokeza na kujitetea kwa kujibu hoja za kijana, mwananchi wake...
Huyu anayeitwa "Rais Samia" katika video hiyo anatuhumiwa kuchochea vitendo vya ushoga na usagaji . Ameshindwa kusimama na kulitetea taifa lake..
Raia wake huyu kachoshwa na hali hii. Hatamani hata kuiona picha yake hiyo (ambayo in fact kaichora mwenyewe). Hadaiwi na mtu...
Kosa lake liko wapi hapo
View attachment 3036798
Huyu Rais Samia na watu wake na CCM yake yote wanasumbuliwa na ugonjwa unaoitwa kwa kimombo kama "FEAR OF REJECTION"...
Wana hofu kubwa na hatima yao kwa sababu ya kukataliwa na wananchi. Wanatumia nguvu kulazimisha kukubalika na kupendwa..!
Hilo haliwezekani!
Umeongea point,. Freedom of speech isiwe ni chanzo Cha dharau Kwa wakubwa wakoMimi siungi mkono mtu kukaa jela kwa kosa kama hili,lakini alichokifanya Artist Chaula sio jambo la kupongezwa. Hata kama ni freedom of speech,hii imezidi.
Leo wanaanza kuchoma picha za Viongozi Ili kufikisha ujumbe,wanashangiliwa na jela wanatolewa.
Kesho watachoma ofisi za umma kufikisha ujumbe.
Wakiona bado hawasikilizwi watajichoma moto wenyewe kufikisha ujumbe(yolsa).
Hiyo ndio freedom of speech,ukimruhusu mtu aingie chumbani kwako bila kugonga hodi next time utamkuta kitandani kwako amelala.
AminaUmoja ni nguvu.
Amshukuru Mungu aliyewainua watu wa kumsaidia.
Hilo ni ajabu pia.
Pamoja na wazo lako, Tunapaswa kuilazimisha Serikali kuhakikisha Maisha ya Wananchi wote wa Tanzania yanakuwa Bora na yenye hadhi ya Binadamu, hatuwezi kuwakwamua watu wetu kwa kuwanunulia BodabodaYaani na bado mmemtoa tena chapu chapu hata mwezi bado dah [emoji51][emoji51] hii inaleta picha kuwa tukio lile halija migusa haya sawa [emoji41] basi mnunulieni hata boda boda na nguo mpya basi