Kesi ya mihemuko.Kesi ya kulinda kiti.Kesi ya mchongo.Kesi ya kujipendekeza kwa mteuzi.
 
Chadema mna moyo wa utu kweli.

Chadema ni mpango wa Mungu.

Watanzania tuamke , ukimchangia au kumsaidia mtu aliyeonewa ; Mungu anakubariki zaidi kuliko hata anaye toa sadaka kwa mwamposa . Pia tukatae udhalimu.
 
Kwahiyo binti muongo hakufirwa kwenye gari?
RC Nawanda kategewa na wabaya wake na kajaa ndani ya 18. Hakuna mwanamke aliyefirwa atajitangaza kuwa kafirwa. Ni kitendo cha aibu.

Huyu walimseti tu wabaya wake
 
RC Nawanda kategewa na wabaya wake na kajaa ndani ya 18. Hakuna mwanamke aliyefirwa atajitangaza kuwa kafirwa. Ni kitendo cha aibu.

Huyu walimseti tu wabaya wake
Niliwaambieni RC Nawanda hana kesi yeyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…