pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
shafii is not smart. this is knownNakuuliza tena una uhakika au ndiyo yaleyale fuata upepo?
Halafu nani aliyekudanganya kuwa ukipata one au two ndiyo una akili?? Mfano wewe hapo umepata daraja la kwanza unahisi una akili?? Halafu elimu yenyewe ya Tanzania!
uwakika ninao. shafii form 4 alifeli kama alifaulu aje na vyeti. unless alifanya manuva.Nakuuliza tena una uhakika au ndiyo yaleyale fuata upepo?
Halafu nani aliyekudanganya kuwa ukipata one au two ndiyo una akili?? Mfano wewe hapo umepata daraja la kwanza unahisi una akili?? Halafu elimu yenyewe ya Tanzania!
elimu ya tz ngumu sana. sana. that's y shafii alifeli. form 4Nakuuliza tena una uhakika au ndiyo yaleyale fuata upepo?
Halafu nani aliyekudanganya kuwa ukipata one au two ndiyo una akili?? Mfano wewe hapo umepata daraja la kwanza unahisi una akili?? Halafu elimu yenyewe ya Tanzania!
form 4 failure huyo.AjaAnza leo ndio maanA TFF WALIMTOA BALU
Jitihada za makusudi si kutaka kumvunja mtu na kuharibu career ya mwenzake. Yule alikamia mechi kijinga na ndio shida ya wachezaji wanaotoka championship hakuna professionalismWatu wanasema huyo aliepewa kadi nyekundu alifanya jitihada za makusud kupata kadi hyo
Kuandika vizuri huwezi, unapata wapi mamlaka ya kuhoji elimu za watu?!uwakika ninao. shafii form 4 alifeli kama alifaulu aje na vyeti. unless alifanya manuva.
ila shafii ni form 4 failure. hii uwakika kabisa. sijui what happened next ila form 4 alifeli
Waandishi wengi wa michezo,wengi tayari wamechezewa. Wako kimasrahiShafii kaumia sana kuona Yanga ikishinda goli nne.
Yanga ikishinda magoli machache, wachambuzi uchwara wanasema imekwisha makali na ikishinda goli nyingi wanasema imenunua mechi. Wote wanasahau kuwa, katika mechi zote hizo Yanga wameonyesha uwezo mkubwa wa kucheza, kumiliki na kushambulia timu pinzani kupitiliza.
Shafii asisahau kuwa, wiki mbili zijazo Yanga itacheza na Simba na huenda kipigo kikarejewa upya.
shafii la 7. elimu hana kujenga hoja aujui,
kichwani empty, clouds wanaajili vibes tu. ila kichwani maji kubwaa maji kujaa.
wanaomfatilia nao kama vilaza
Hivi team pinzani ikiwa na kadi nyekundu ndio inafungwa? Mbona Prison ilipigwa kadi nyekundu kipindi cha kwanza mechi na Simba na bado ilishinda kwa magoli mawili ya Mbangula? Kama unajua unajua tu.ila jamaa naye kapambana sana iliapewe nyekundu angalau nyuma mwiko wapate migoli
Unaposema form failure una maana gani mkuu? Kwamba alipata zero?uwakika ninao. shafii form 4 alifeli kama alifaulu aje na vyeti. unless alifanya manuva.
ila shafii ni form 4 failure. hii uwakika kabisa. sijui what happened next ila form 4 alifeli
Azania Secondary ni kijiwe cha pool table? IFM ni kijiwe cha kahawa?shafii la 7. elimu hana kujenga hoja aujui,
kichwani empty, clouds wanaajili vibes tu. ila kichwani maji kubwaa maji kujaa.
wanaomfatilia nao kama vilaza
Nani alionyeshwa kadi nyekundu mechi hiyo?Hivi team pinzani ikiwa na kadi nyekundu ndio inafungwa? Mbona Prison ilipigwa kadi nyekundu kipindi cha kwanza mechi na Simba na bado ilishinda kwa magoli mawili ya Mbangula? Kama unajua unajua tu.
Kwamba umenizidi??Kuandika vizuri huwezi, unapata wapi mamlaka ya kuhoji elimu za watu?!
Jambo la msingi ilikuwa ni wewe kuanza kujifunza uandishi na sarufi.
Shidayenu mnatangaza amani Huku mmeshika mapanga.Rejea slogani yenu ya ubaya ubwela.
GSM Maji Vs GSM Godoro.... 😀Shaffih miaka yote ni mnafiki, mimi nilishamfuta katika watu ninaowasikiliza wakiongelea soka.
Haji Musa baada ya kadi za njano mbili. Simba alipigwa akiwa homeNani alionyeshwa kadi nyekundu mechi hiyo?