Shaffih Dauda mnafki sana

Pomojq n1 sifq nzuri ktk utawala wa TFF ya KARIA, kossa kubwa la kihistoria ni kuruhusu GSM soka FAMILIA
 
Mimi ni Yanga ila Kwenye Elimu umemkosea sana. SHaffih ni mhitimu wa IFM baada ya kutoka St Anthony na kupasua. Si kilaza academically kama ulivyoandika.
Heri la Saba ayejitambua kuliko degree holder anayetumiwa na watu kusema vitu vya hovyo ilimladi mkono uende kinywani.
 
Tumuulizs
 
Heri la Saba ayejitambua kuliko degree holder anayetumiwa na watu kusema vitu vya hovyo ilimladi mkono uende kinywani.
Unahamisha reli mkuu. Mimi sikuendana na kauli yako ya kuwa ni form four failure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…