Dakika zipi?Mpaka ilete impact?Haji Musa baada ya kadi za njano mbili. Simba alipigwa akiwa home
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dakika zipi?Mpaka ilete impact?Haji Musa baada ya kadi za njano mbili. Simba alipigwa akiwa home
Kama limetoka kwa P Diddy, limekuaje sijuiShaffih miaka yote ni mnafiki, mimi nilishamfuta katika watu ninaowasikiliza wakiongelea soka.
Hivi wakati wale WANAWAKE WANAKULA 5-1 walikuwa na G.S.M ?G.S.M to G.S.M
All the best
Kama alifeli kwani watu hyo mitihan c wanairudiaaa na kufaulu. Mbna unahasira naye kma alikunyang'anya demu wako..form 4 failure huyo.
akili zipi za uongo,kufitinisha watuN8mesoma darasa mojana shafii IFM mwaka 2001-2004 hajui kiingereza ila akili anazo acha kumsingizia,na amecheza npira sana tu
Heri la Saba ayejitambua kuliko degree holder anayetumiwa na watu kusema vitu vya hovyo ilimladi mkono uende kinywani.Mimi ni Yanga ila Kwenye Elimu umemkosea sana. SHaffih ni mhitimu wa IFM baada ya kutoka St Anthony na kupasua. Si kilaza academically kama ulivyoandika.
TumuulizsShafii kaumia sana kuona Yanga ikishinda goli nne.
Yanga ikishinda magoli machache, wachambuzi uchwara wanasema imekwisha makali na ikishinda goli nyingi wanasema imenunua mechi. Wote wanasahau kuwa, katika mechi zote hizo Yanga wameonyesha uwezo mkubwa wa kucheza, kumiliki na kushambulia timu pinzani kupitiliza.
Shafii asisahau kuwa, wiki mbili zijazo Yanga itacheza na Simba na huenda kipigo kikarejewa upya.
Haya dakika zingine zimeisha vipi kile kipyenga kilivyookoa watuDakika zipi?Mpaka ilete impact?
Unahamisha reli mkuu. Mimi sikuendana na kauli yako ya kuwa ni form four failureHeri la Saba ayejitambua kuliko degree holder anayetumiwa na watu kusema vitu vya hovyo ilimladi mkono uende kinywani.