Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Adhabu aliyopewa Shaffih ni kubwa sana lakin ukifuatilia hili sakata utagundua Shafii anakosea sana wewe ni mjumbe wa mkutano mkuu mda uko bize kuniponda TFF kama ni malalamiko angeyapeleka TFF na sio mitandaoni.
Shafii angetakiwa ajiuzulu ujumbe wa mkutano mkuu wa TFF ili awe na uhuru wa kuiponda, alichokuwa anafanya Shafii ni undumilakuwili na unafiki.
Huwezi kuwa board member wa kampuni alafu uko bize kuiponda kwenye mitandao lazima watakuondoa tu watu Shafii ajifunze ethics za kazi.
Shafii ni mjumbe inamaana yeye pia ni sehemu ya TFF kutwa Yuko bize kuiponda TFF huo ni uzindaki na unafki
Shafii angetakiwa ajiuzulu ujumbe wa mkutano mkuu wa TFF ili awe na uhuru wa kuiponda, alichokuwa anafanya Shafii ni undumilakuwili na unafiki.
Huwezi kuwa board member wa kampuni alafu uko bize kuiponda kwenye mitandao lazima watakuondoa tu watu Shafii ajifunze ethics za kazi.
Shafii ni mjumbe inamaana yeye pia ni sehemu ya TFF kutwa Yuko bize kuiponda TFF huo ni uzindaki na unafki