yogan
Senior Member
- Feb 26, 2013
- 133
- 91
Pengine wewe ndo sio muelewa wengine wanamuelewa inatosha Kiongozi si lazima uelewe au umuelewe kila mtu mengine potezea..
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 612099
Toka nianze kupenda soka sijawahi kuona mchambuzi uchwara kama Dauda. Wabongo wengi wamepewa fursa za kuzungumza na kusikilizwa lakini kichwani hakuna kitu....giza nene
Wanaomfahamu zaidi watupe wasifu wake ili kuwasaidia watu wasipotezewe mda naye.
Sent using Jamii Forums mobile app