Shafii Dauda ni mchambuzi uchwara, hafai hata kuchambua rede

Shafii Dauda ni mchambuzi uchwara, hafai hata kuchambua rede

Pengine wewe ndo sio muelewa wengine wanamuelewa inatosha Kiongozi si lazima uelewe au umuelewe kila mtu mengine potezea..
View attachment 612099
Toka nianze kupenda soka sijawahi kuona mchambuzi uchwara kama Dauda. Wabongo wengi wamepewa fursa za kuzungumza na kusikilizwa lakini kichwani hakuna kitu....giza nene

Wanaomfahamu zaidi watupe wasifu wake ili kuwasaidia watu wasipotezewe mda naye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi tangu Dauda nigundue hajui kuandika Kiswahili kwa ufasaha simfuatilii popote pale. Ni empty head yule. Sijui huko mawingu kwanini walimpa ukuu wa kitengo. A disgrace.

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu ushamba mwingi,kulazimisha kuchanganya swanglish pasipo na haja.....still bado......
 
kusema ukweli mi jamaa nilikuwa namkubali lkn juzi ktk sports extra ndio aliniacha HOI punde alipo diriki kumfananisha chama na Mo ibrahim hapo mi nikahamisha station nikaweka EA radio kuna jamaa pale anaitwa ticha ah jamaa anajua uchambuzi balaa honestly speaking, kwa mdau yeyote wa mpira unaanzaje kumfananisha chama na mo ibrahim jaman ? kuanzia ball controll, dribbling skills, concentration uwanjan chama ni excellent unajuwa baadhi ya wachezaji wetu wa bongo kama vile hawajitambui vizuri
 
Shaffi anafahamu kuucheza mpira na kuuchambua ..kwangu future TFF president..ana passion na soka (Ndondo cup live kideoni)Yanga walitaka kumsajili akiwa anasoma Azania ...sasa Haji kafanya nini kwenye soka hata UMISETA hajacheza..wote mnaomponda labda mjini mmekuja au chuki za kike....Mtanzania pekee aliyetazama mechi nyingi za world cup na EUFA finals....nilishangaa Manara anasema Dauda alikuwa anasukuma vitorori bank..MTU wa IT anafanya vipi kazi hizo..mwingine anazungumzia hajui English..wakati IT INA lugha zake..kwenye programming English ya nini.....SIMBA nyie ni underdog hata kwa YANGA...Ubingwa Yanga Mara 27 nyie 19...mechi tumewafunga nyingi,magoli tumewafunga mengi...shubamit kenge zenu..takwimu zinaongea sio makelele
Haji anapenda kusema Dismas ten wakuja mbona hathubutu kusema Shafii wakuja...wakati Haji anasoma Jitegemee kwenye madarasa ya mabati..Shaffi form one mpaka six Azania..wapi na wapi..Shafii kasoma PCM ..Haji sijui KLF masomo ya kike...nikiongea mwanaume kaa kimya jiji letu tuliosoma Tambaza na Azania tu
Acha uongo PCM akasomea Marketing ? unless useme alikula mwerleka kitu cha six,.. unajua kujua kucheza mpira wa mchangani sio ndio kuujua mpira wa sasa, wale ni RIZIKI tu ktk tafuta tafuta mipango ya mwenyeezi Mungu S.A.W ndipo walipoandikwa riziki yao hapo lkn ndio hivyo tena mapenzi kwa wana jangwani yamemuelemea msimu huu badala ya kuichangia club yake pale mtaa wa twiga yy kazi yake kuikebei timu inayoshiriki ligi ya mabingwaaa yaan wawakilishi pekee afrika mashariki nzimaaa
 
Angalia tu pasi za Chama,Shaffi anajitahidi kuivuruga simba ila anashindwa
kusema ukweli mi jamaa nilikuwa namkubali lkn juzi ktk sports extra ndio aliniacha HOI punde alipo diriki kumfananisha chama na Mo ibrahim hapo mi nikahamisha station nikaweka EA radio kuna jamaa pale anaitwa ticha ah jamaa anajua uchambuzi balaa honestly speaking, kwa mdau yeyote wa mpira unaanzaje kumfananisha chama na mo ibrahim jaman ? kuanzia ball controll, dribbling skills, concentration uwanjan chama ni excellent unajuwa baadhi ya wachezaji wetu wa bongo kama vile hawajitambui vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa ni Best, sema Tu kawachikonoa kuwaambia Under Dog
Theory moja ambayo huwa nashindwa kuielewa ni vile ambapo tunaweza kuendelea kumsikiliza mtu tunayelalamika kwamba anatuboa, una-tune in Sports Extra ya Clouds FM saa tatu unajua kabisa Shaffii atakuwepo, na atakuboa, kweli anakuboa kesho unarudia tena kusikiliza, hivyo hivyo kila siku.

Bahati nzuri sasa kuna watu wengine wengi ambao wanafanya kama jamaa na unasema kwamba hao ndo bora zaidi yake, lakini hujipi muda wa kuwasikiliza kama unavyosikiliza anayekuboa.

Nakumbuka First Take ya ESPN, nilikuwa simpendi Skip Bayless, lakini kila mara siku namsikiliza na naendelea kulalamika, thanks God alihama ESPN kwa hiyo saa hizi hata simsikilizi kabisa, labda mara moja moja nikijihisi kummiss.

Hapo huwa sielewi kabisa theory yake, kwa nini tusiache kumsikiliza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom