Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasira za nini ndugu MATAGA? Au na wewe ulikuwa unataka kuwa Covid-19?Uchaguzi gani, mwaka gani chadema walikiri kuutambua??? Mbona pamoja na kutotambua chaguzi hizo ilikuwaje wabunge wakaenda kuapishwa pamoja msimamo wa kutotambua uchaguzi..this time vile wao wamekosa na hakuna viti maalum vya wanaume wanaweka misimamo bila reasoning...
Pale ni gerejiJana Imenifanya Nianze Kufikiria Kujiunga Na CHADEMA, Maamuzi Aliyoyafanya Mbowe Ni Ya Kiume. Barua Walizoandika Kina MDEE ni Ushahidi Tosha Kwamba MWENYEKITI WA TUME TA TAIFA YA UCHAGUZI alitudanganya Watanzania...
Lakini hatakuwa na heshimaWanaenda fungua kesi mahakama itazuia kufutwa kwao sababu kesi inasikilizwa na kesi itaenda mpaka 2025 na baada ya hapo wataenda sisiemu, loser ni chadema! Mdee, bulaya, matiko wana influence kubwa sana kwa kina mama, ambao ndio wapigaji kura wakubwa..
Jengeni chama upya. Acheni kulia lia. Kila baada ya miaka kadhaaa pale mnapodhani mnakaribia, atatokeza 'msaliti' na mtaanza upya. Trend iko hivyo...Who cares hata wawe wabunge hadi 2050, what matters most ni kuwa sio wanachama wa Chadema na hawatatumia jina la Chadema bungeni na chochote watakachofanya bungeni Chadema haitakuwa answerable.
Sometimes wanapojitokeza wasaliti ni fursa kwa chama kujisahihisha zaidi, people learn through mistakes.Jengeni chama upya. Acheni kulia lia. Kila baada ya miaka kadhaaa pale mnapodhani mnakaribia, atatokeza 'msaliti' na mtaanza upya. Trend iko hivyo...
Heshima ya bavicha, heshima ya minority hata jpm hana na haina impact...Lakini hatakuwa na heshima
Hawatoisha.Sometimes wanapojitokeza wasaliti ni fursa kwa chama kujisahihisha zaidi.
Boya weweWanaenda fungua kesi mahakama itazuia kufutwa kwao sababu kesi inasikilizwa na kesi itaenda mpaka 2025 na baada ya hapo wataenda sisiemu, loser ni chadema! Mdee, bulaya, matiko wana influence kubwa sana kwa kina mama, ambao ndio wapigaji kura wakubwa..
Hivi CCM wasaliti wameisha.Hawatoisha.
Zito, slaa, mdee, the list goes on...
Haujaisha na hautoisha ila Usaliti sisiemu na usaliti chadema ni vitu viwili tofauti. Hivi ni vyama viwili mbingu na ardhi, sisiemu ndio washika mpini wa kila kifaa cha kukatia.Hivi CCM wasaliti wameisha.
Hili uliloandika hapa limesababishwa na masalia wa ule upuuzi uliofanywa na wale Covid-19.Damage control + risk management ndo alichofanya Mbowe. Ngoja vumbi litulie then mtaona gia vinavyobadiliswa angani ukiona hukumu imetoka kukawa na option ya kulipa fine kwa mtu mwenye uwezo wa kifedha jua kuwa huyo mtu hatokwenda jela mtakuwa nae mtaani soon....