Shaka aagiza DCs & DEDs wote wahakikishe mkandarasi analipa madeni yote kwa watoa huduma kabla ya kumtumbua

Shaka aagiza DCs & DEDs wote wahakikishe mkandarasi analipa madeni yote kwa watoa huduma kabla ya kumtumbua

View attachment 2327010
Chama kinachotetea masilahi ya wanyonge wote bila kujali itikadi zao za kisiasa na kidini cha Mapinduzi kimewataka wakuu wote wa Mikoa, Wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri kote nchini kuhakikisha wanalinda maslahi ya wananchi wanaofanyakazi na wakandarasi kama watoa huduma,

Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Mhe Shaka Hamdu Shaka wWlayani Kaliua mkoa wa Tabora,
Shaka ametoa kauli hii baada ya kusimamishwa wakati akikagua ujenzi wa barabara ya Ushokora pamoja na kusikiliza kero mbalimbali za wananchi.

Mama mmoja alitoa malalamiko yake mbele ya Shaka akimuomba amsaidie kupata haki yake kutoka kwa Mkandarasi (jina linahifadhiwa ) ambaye baada ya kandarasi yake kusitishwa na Halmashauri akaondoka na deni la mama huyo, kitendo ambacho kimemfanya kufilisika kibiashara.

Akiongea kwa uchungu Shaka amewataka waliopewa dhamani wasimamie masilahi ya watoto hawa wa masikini wanaorudishwa nyuma kwa faida za watu walioshindwa majukumu yao,
Hili jambo halipo Kwa hao Ma DED na Ma DC pekee hata Kwa wakandarasi wengine wanaopewa Kazi na taasisi zingine kama TanRoads na Tarura nk hawasimamii maslahi ya wafanyakazi wa hizo kampuni kwa sababu wanapewa vihela na wakandarasi..

Hii tabia ya kuzurumu watu maskini wasio na pa kusemea ikomeshwe mara moja maana na waliopewa dhamana kusimamia hawafany.Pia.kuna hadi Wizara ya Kazi na Ajira na ofisi za kazi kila mkoa lakini hakuna wanachofanya.
 
View attachment 2327010
Chama kinachotetea masilahi ya wanyonge wote bila kujali itikadi zao za kisiasa na kidini cha Mapinduzi kimewataka wakuu wote wa Mikoa, Wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri kote nchini kuhakikisha wanalinda maslahi ya wananchi wanaofanyakazi na wakandarasi kama watoa huduma,

Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Mhe Shaka Hamdu Shaka wWlayani Kaliua mkoa wa Tabora,
Shaka ametoa kauli hii baada ya kusimamishwa wakati akikagua ujenzi wa barabara ya Ushokora pamoja na kusikiliza kero mbalimbali za wananchi.

Mama mmoja alitoa malalamiko yake mbele ya Shaka akimuomba amsaidie kupata haki yake kutoka kwa Mkandarasi (jina linahifadhiwa ) ambaye baada ya kandarasi yake kusitishwa na Halmashauri akaondoka na deni la mama huyo, kitendo ambacho kimemfanya kufilisika kibiashara.

Akiongea kwa uchungu Shaka amewataka waliopewa dhamani wasimamie masilahi ya watoto hawa wa masikini wanaorudishwa nyuma kwa faida za watu walioshindwa majukumu yao,
Huyu Shaka sasa hana akili.
Aambiwe mambo ya haki yanapatikana mahakamani tu.
 
Hili jambo halipo Kwa hao Ma DED na Ma DC pekee hata Kwa wakandarasi wengine wanaopewa Kazi na taasisi zingine kama TanRoads na Tarura nk hawasimamii maslahi ya wafanyakazi wa hizo kampuni kwa sababu wanapewa vihela na wakandarasi..

Hii tabia ya kuzurumu watu maskini wasio na pa kusemea ikomeshwe mara moja maana na waliopewa dhamana kusimamia hawafany.Pia.kuna hadi Wizara ya Kazi na Ajira na ofisi za kazi kila mkoa lakini hakuna wanachofanya.
Hizi ni kampuni za wanaCCM
 
Hili jambo halipo Kwa hao Ma DED na Ma DC pekee hata Kwa wakandarasi wengine wanaopewa Kazi na taasisi zingine kama TanRoads na Tarura nk hawasimamii maslahi ya wafanyakazi wa hizo kampuni kwa sababu wanapewa vihela na wakandarasi..

Hii tabia ya kuzurumu watu maskini wasio na pa kusemea ikomeshwe mara moja maana na waliopewa dhamana kusimamia hawafany.Pia.kuna hadi Wizara ya Kazi na Ajira na ofisi za kazi kila mkoa lakini hakuna wanachofanya.
Wewe jamaa huwa unahoja Sana aise
 
View attachment 2327010
Chama kinachotetea masilahi ya wanyonge wote bila kujali itikadi zao za kisiasa na kidini cha Mapinduzi kimewataka wakuu wote wa Mikoa, Wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri kote nchini kuhakikisha wanalinda maslahi ya wananchi wanaofanyakazi na wakandarasi kama watoa huduma,

Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Mhe Shaka Hamdu Shaka wWlayani Kaliua mkoa wa Tabora,
Shaka ametoa kauli hii baada ya kusimamishwa wakati akikagua ujenzi wa barabara ya Ushokora pamoja na kusikiliza kero mbalimbali za wananchi.

Mama mmoja alitoa malalamiko yake mbele ya Shaka akimuomba amsaidie kupata haki yake kutoka kwa Mkandarasi (jina linahifadhiwa ) ambaye baada ya kandarasi yake kusitishwa na Halmashauri akaondoka na deni la mama huyo, kitendo ambacho kimemfanya kufilisika kibiashara.

Akiongea kwa uchungu Shaka amewataka waliopewa dhamani wasimamie masilahi ya watoto hawa wa masikini wanaorudishwa nyuma kwa faida za watu walioshindwa majukumu yao,
Shaka piga kazi tujenge chama chetu,
 
View attachment 2327010
Chama kinachotetea masilahi ya wanyonge wote bila kujali itikadi zao za kisiasa na kidini cha Mapinduzi kimewataka wakuu wote wa Mikoa, Wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri kote nchini kuhakikisha wanalinda maslahi ya wananchi wanaofanyakazi na wakandarasi kama watoa huduma,

Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Mhe Shaka Hamdu Shaka wWlayani Kaliua mkoa wa Tabora,
Shaka ametoa kauli hii baada ya kusimamishwa wakati akikagua ujenzi wa barabara ya Ushokora pamoja na kusikiliza kero mbalimbali za wananchi.

Mama mmoja alitoa malalamiko yake mbele ya Shaka akimuomba amsaidie kupata haki yake kutoka kwa Mkandarasi (jina linahifadhiwa ) ambaye baada ya kandarasi yake kusitishwa na Halmashauri akaondoka na deni la mama huyo, kitendo ambacho kimemfanya kufilisika kibiashara.

Akiongea kwa uchungu Shaka amewataka waliopewa dhamani wasimamie masilahi ya watoto hawa wa masikini wanaorudishwa nyuma kwa faida za watu walioshindwa majukumu yao,
Shaka huenda akaja kuwa kiongozi Wa mfano sana katika Taifa hili
 
Hili jambo halipo Kwa hao Ma DED na Ma DC pekee hata Kwa wakandarasi wengine wanaopewa Kazi na taasisi zingine kama TanRoads na Tarura nk hawasimamii maslahi ya wafanyakazi wa hizo kampuni kwa sababu wanapewa vihela na wakandarasi..

Hii tabia ya kuzurumu watu maskini wasio na pa kusemea ikomeshwe mara moja maana na waliopewa dhamana kusimamia hawafany.Pia.kuna hadi Wizara ya Kazi na Ajira na ofisi za kazi kila mkoa lakini hakuna wanachofanya.
Sahihi kabisa Mkuu wetu
 
View attachment 2327010
Chama kinachotetea masilahi ya wanyonge wote bila kujali itikadi zao za kisiasa na kidini cha Mapinduzi kimewataka wakuu wote wa Mikoa, Wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri kote nchini kuhakikisha wanalinda maslahi ya wananchi wanaofanyakazi na wakandarasi kama watoa huduma,

Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Mhe Shaka Hamdu Shaka wWlayani Kaliua mkoa wa Tabora,
Shaka ametoa kauli hii baada ya kusimamishwa wakati akikagua ujenzi wa barabara ya Ushokora pamoja na kusikiliza kero mbalimbali za wananchi.

Mama mmoja alitoa malalamiko yake mbele ya Shaka akimuomba amsaidie kupata haki yake kutoka kwa Mkandarasi (jina linahifadhiwa ) ambaye baada ya kandarasi yake kusitishwa na Halmashauri akaondoka na deni la mama huyo, kitendo ambacho kimemfanya kufilisika kibiashara.

Akiongea kwa uchungu Shaka amewataka waliopewa dhamani wasimamie masilahi ya watoto hawa wa masikini wanaorudishwa nyuma kwa faida za watu walioshindwa majukumu yao,
Huyu mjomba ni jembe kwelikweli
 
Hili jambo halipo Kwa hao Ma DED na Ma DC pekee hata Kwa wakandarasi wengine wanaopewa Kazi na taasisi zingine kama TanRoads na Tarura nk hawasimamii maslahi ya wafanyakazi wa hizo kampuni kwa sababu wanapewa vihela na wakandarasi..

Hii tabia ya kuzurumu watu maskini wasio na pa kusemea ikomeshwe mara moja maana na waliopewa dhamana kusimamia hawafany.Pia.kuna hadi Wizara ya Kazi na Ajira na ofisi za kazi kila mkoa lakini hakuna wanachofanya.
Sahihi kabisa
 
shaka aagize pia serikali iwe inawalipa wakandarasi wa ndani kwa wakati na pia wasiwe wanadhurimiwa stahiki zao baada ya kukamilisha kazi maana wengine huishia kufirisika na kufa kwenye hii miradi ya serikali.
 
shaka aagize pia serikali iwe inawalipa wakandarasi wa ndani kwa wakati na pia wasiwe wanadhurimiwa stahiki zao baada ya kukamilisha kazi maana wengine huishia kufirisika na kufa kwenye hii miradi ya serikali.
Wazo zuri sana
 
Shaka ameshaanza kupita level za uenezi anafaa kua waziri kabisa yaani polepole hajafikia rekodi za shaka hata kidogo
 
View attachment 2327010
Chama kinachotetea masilahi ya wanyonge wote bila kujali itikadi zao za kisiasa na kidini cha Mapinduzi kimewataka wakuu wote wa Mikoa, Wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri kote nchini kuhakikisha wanalinda maslahi ya wananchi wanaofanyakazi na wakandarasi kama watoa huduma.

Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Mhe Shaka Hamdu Shaka wilayani Kaliua mkoa wa Tabora. Shaka ametoa kauli hii baada ya kusimamishwa wakati akikagua ujenzi wa barabara ya Ushokora pamoja na kusikiliza kero mbalimbali za wananchi.

Mama mmoja alitoa malalamiko yake mbele ya Shaka, akimuomba amsaidie kupata haki yake kutoka kwa Mkandarasi(jina linahifadhiwa) ambaye baada ya kandarasi yake kusitishwa na halmashauri akaondoka na deni la mama huyo, kitendo ambacho kimemfanya kufilisika kibiashara.

Akiongea kwa uchungu Shaka amewataka waliopewa dhamani wasimamie masilahi ya watoto hawa wa masikini wanaorudishwa nyuma kwa faida za watu walioshindwa majukumu yao.
Hakika tusaidiwe, asante Shaka
 
CCM hii ya Shaka inastahili pongezi,Hawa wakandarasi hasa wa kigeni ni kama miungu watu, wanaweza wakamfanya chochote raia na hakuna hatua inachukuliwa
Uko sahihi kwa 100%✔️
 
Back
Top Bottom