Shaka afurahishwa na DIT kuhamisha magari 1,000 kutoka mfumo wa mafuta kwenda wa gesi. Ampongeza Rais Samia kwa kutoa TZS 100BL kwa ajili ya CNG

Bora veta changombe au mafundi gereji temeke wapewe huo mradi!
Huu mradi ni kichefuchefu kwani hao DIT bei ghali na warasimu sana wkt ni kitu simple tu hata mafundi wa mwembe yangu wangefanya vizuri mara mia kuliko hao DIT
DIT waondolewe hiyo monopoly power
Serikali iko na nia nzuri ila inawatumia DIT watu wa ovyo
 
Nadhani viongozi waneliona hili
 
Nashauri kuongeza juudi katika magari ya biashara zaidi
 

TEHAMA na mfumo wa gesi ya magari wapi na wapi!!

Itakuwa Shaka anaamini kila mabafiliko ya teknolojia yanahusiana na TEHAMA
 
Kwenye hili 2025 nampa kura yangu Rais Samia
 
Fanyeni siasa acheni maneno, Kazi yenu kulalamika kila kukicha mmeibiwa kura,

Tufanye siasa wakati tukifanya mkiona nyomi wivu unawapata na kuanza kutubambikia kesi? Nyie ndio mjifunze kufanya siasa za ushawishi sio mabavu.
 
Wewe ni mlamba mata..ko ya wakubwa, kusifia Sofia tu
 
TEHAMA maana yake ni nini?

Kwa mujibu wa Wikipedia

Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kama ilivyoainiwa na Shirikisho la Teknolojia ya Habari ya Marekani (ITAA), ni "utafiti, urasimu, uendeleshaji, utekelezaji, usaidizi au usimamizi wa mifumo ya habari, hasa ala za programu na vifaa vya kompyuta.

Maana nyingine iliyo rasmi
Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), hususani kompyuta na vitumi vyake.

TEHAMA (ICT) inahusiana na upashaji habari kwa njia ya mifumo ya kompyuta, hivyo huwezi husianisha na teknolojia nyinginezo kama hizo za Mechanical engineering au CNG as fuel
 
Too narrow
 
Urongo kabisa huu, fanyeni tuone

Waambie vyombo vya dola waache kuagizwa na viongozi wa CCM kuzuia mikutano ya vyama vya upinzani, wakikukubalia uje utuambie tuanze.
 
Waambie vyombo vya dola waache kuagizwa na viongozi wa CCM kuzuia mikutano ya vyama vya upinzani, wakikukubalia uje utuambie tuanze.
mmefanya wapi mkazuiwa mzee?
 
Unauliza au unapigia jibu mstari?
 
Tindo unafanya kazi kubwa Sana mtandaoni sijui kama Mbowe anakufahamu,

Hajui hata nafananaje, na sidhani hata kama anataka kunijua, ila mimi ndio namfahamu. Kwani vipi ndugu?
 
Hajui hata nafananaje, na sidhani hata kama anataka kunijua, ila mimi ndio namfahamu. Kwani vipi ndugu?
Kazi yako ni kubwa ulistahili kuwa HQ kama utakuwa mchaga
 
Kazi yako ni kubwa ulistahili kuwa HQ kama utakuwa mchaga

Hata ningekuwa mchaga bado hiyo kazi sihitaji, hata hivyo mimi sio mwanachama wa CDM bali shabiki wa kutupwa wa cdm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…