Moshi25
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,555
- 4,118
ni wazo zuri mno na nchi itasogeza uchumi wake kwa kasi big up sana Bimkubwa
mambo mawili ya kuangalia
1. Je gesi tunayo ya kutosha kuendesha magari mangapi kwa miaka mingapi
2.Je tunajipangaje na mabeberu watakuja kudai tunaongeza carbon dioxide emissions duniani na global warming kwa kuchoma gesi kwenye kuendeshea magari
ni hayo tu!
mambo mawili ya kuangalia
1. Je gesi tunayo ya kutosha kuendesha magari mangapi kwa miaka mingapi
2.Je tunajipangaje na mabeberu watakuja kudai tunaongeza carbon dioxide emissions duniani na global warming kwa kuchoma gesi kwenye kuendeshea magari
ni hayo tu!