Shaka ahani msiba wa Mwele Malecela

Shaka ahani msiba wa Mwele Malecela

SautiYaMnyonge

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2018
Posts
439
Reaction score
742
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amefika nyumbani kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Mstaafu, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee John Samwel Malecela Sea View Upanga Dar es Salaam na kutoa pole kwa familia kufuatia kifo cha Dkt Mwele Malecela aliyefariki dunia Alhamis 10 Februari, 2022 Geneva, Uswisi akipatiwa matibabu.

Dkt Mwele Malecela ni mtoto wa Mzee John Samwel Malecela alikuwa Mkurugenzi wa Magonjwa yasiyopewa Kipaumbele katika Shirika la Afya Duniani (WHO). Mwaka 2015 Dkt Mwele Malecela alikuwa kati ya watia nia wa Urais ndani ya CCM.

Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa Jina Lake Lihimidiwe. Apumzike kwa amani.

IMG-20220212-WA0094.jpg
IMG-20220212-WA0095.jpg
IMG-20220212-WA0102.jpg
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amefika nyumbani kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Mstaafu, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee John Samwel Malecela Sea View Upanga Dar es Salaam na kutoa pole kwa familia kufuatia kifo cha Dkt Mwele Malecela aliyefariki dunia Alhamis 10 Februari, 2022 Geneva, Uswisi akipatiwa matibabu.

Dkt Mwele Malecela ni mtoto wa Mzee John Samwel Malecela alikuwa Mkurugenzi wa Magonjwa yasiyopewa Kipaumbele katika Shirika la Afya Duniani (WHO). Mwaka 2015 Dkt Mwele Malecela alikuwa kati ya watia nia wa Urais ndani ya CCM.

Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa Jina Lake Lihimidiwe. Apumzike kwa amani.

IMG_20220212_213747_094.jpg
IMG_20220212_213747_184.jpg
 
Uyu mzee mwili bado unadai kama mwinyi
Alioa mke mwingine (Anne Kilango), naona ndoa imemrudisha kwenye ujana...wanaume ni wadhaifu, hamuuwezi upweke.

Mungu Ampe Subira huyu Baba, na amlipe Kwa hii mitihani anayopitia, kuzika mtoto sio Jambo la mchezo, Mzee tunaweza kumuona Yuko Sawa nje, Ila maumivu anayopitia kwa ndani ni Kama nafsi iliyokufa na kukata tamaa....tumkumbuke kwenye maombi yetu.
 
Alioa mke mwingine (Anne Kilango), naona ndoa imemrudisha kwenye ujana...wanaume ni wadhaifu, hamuuwezi upweke.

Mungu Ampe Subira huyu Baba, na amlipe Kwa hii mitihani anayopitia, kuzika mtoto sio Jambo la mchezo, Mzee tunaweza kumuona Yuko Sawa nje, Ila maumivu anayopitia kwa ndani ni Kama nafsi iliyokufa na kukata tamaa....tumkumbuke kwenye maombi yetu.
Duh
Kuoa kumbe raha.kwa kweli ana maumivu makubwa maana watoto wake wanazidi kukuputika tu
 
Back
Top Bottom