Shaka Hamdu Shaka atuma neno kwa Freeman Mbowe amsifu Rais Samia

Kwani kwa mujibu wa kesi ya Mbowe anayemfanyia fujo mwingine ni nani! Ili tuheshimike ndani na nje ya nchi vijana viongozi wa baadaye mjifunze na kuzoea kutafuta na kusema ukweli. Ukweli ndiyo utawaweka huru,utawapa amani na maisha marefuu!!
Daaah,
 
sijaelewaga hadi leo kwanini sisiemu waliamua kumuweka huyu jamaa kama kiongozi wao.

Hata sijui kwanini.
 
Huyu kijana anaelekea kwenye njia ile ile yakina Polepole.....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…