Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna namna mkuuKazi iendelee
Kwani serikali unayoisema ni ya chama gani?Kwan katiba mpya ni jukumu la ccm au serikali? Au anasemea katiba ya CCM?
Hiyo hasira yako haina madhara. Nchi kama tanzania inatawaliwa haiongozwi. Simple and clear. Uongozi upo ulaya china na marekaniHawa jamaa sijui huwa wanatuonaje? Sijui hii nchi walishajimilikisha? Katiba sio takwa la Chama bali ni la wananchi sasa hiki Chama kinataka kutufanya sisi ni mafala wanaamua kusema au kufanya wakitakacho,huu ni uzandiki wa hali ya juu!
Haya malalamiko yenu huwa ni kelele tu. Wananchi hamna power tena. Cha msingi muwe wapole tu muliweKwan katiba mpya ni jukumu la ccm au serikali? Au anasemea katiba ya CCM?
Ifike point tukubali tu kwamba wananchi hatuna sauti tena. Na tunachofanya saa hivi ni kama mayowe anayopiga panya anapokua amebananishwa na mbwa. Huwa mayowe hayo hayana madharaSera ambazo hazina tija zinatokana na katiba ambayo ina mapungufu
Mwananchi gani huyoo? Mimi na wenzangu hapa tulipo kama 500..hatuhitaji katiba mpyaaa...tunataka kuona nchi inasonga mbele chini ya chama tawaraaaaaHawa ccm vichwa vyao vimejaa matakataka,katiba siyo hitaji la ccm ni hitaji la Wananchi wote (Taifa)
Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
Kama hamjajifunza madhara ya Katiba ya 1977 tangu tar 17.3.2021 bakini hivyo hivyo.![]()
CCM yasema haina agenda ya katiba mpya kwa wakati huu.
"Hakuna mwananchi anayesema serikali iyaache yote hayo ishughulike kwanza na katiba mpya hayupo. Madai ya katiba mpya sio agenda ya kisiasa hivyo wanasiasa waache kuitumia agenda hiyo kama turufu ya kuwahadaa wananchi"www.itv.co.tz
Huyu BWANA nafikili kipo anachokitafuta, KWA watanzania ila vyema akaelewa![]()
CCM yasema haina agenda ya katiba mpya kwa wakati huu.
"Hakuna mwananchi anayesema serikali iyaache yote hayo ishughulike kwanza na katiba mpya hayupo. Madai ya katiba mpya sio agenda ya kisiasa hivyo wanasiasa waache kuitumia agenda hiyo kama turufu ya kuwahadaa wananchi"www.itv.co.tz
Kaziinaendelea.
Mkuu hili swala la KATIBA naona wanasiasa wanashidwa kuelewa tu hakuna Rais ambae atakubali kujipunguzia mamlaka kwa kiasi kile alafu ufike wakati wa uchaguzi aanze kuishi kwa pressure.Huyu BWANA nafikili kipo anachokitafuta, KWA watanzania ila vyema akaelewa
Tz sio ya ccm ni yawananchi, inajengwa nchi gani isiokua na misingi iliosimama katika katiba bora..