Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
Nashukuru Mungu anapumua vizuriRafiki yako Sabaya anaendeleaje pale Kisongo[emoji23][emoji23]What Goes Around Comes Around [emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru Mungu anapumua vizuriRafiki yako Sabaya anaendeleaje pale Kisongo[emoji23][emoji23]What Goes Around Comes Around [emoji28][emoji28]
Jamaa ni Wali Maharage wa NaziNa Mwandishi Wetu,
Kutoka Tanga Mjini.
~Yasema kwa sasa sio kipaumbele chake...
Hivi wanaccm wote mmelazimishwa kuandika jambo hilo hilo?CCM YAVUNJA UKIMYA KUHUSU KATIBA MPYA.
✓Yasema kwa sasa sio kipaumbele chake.
✓Yajielekeza katika kujenga nchi kwanza...
Jikite kwenye hoja Chief chadema imeingiaje?Chadema bwana,wao wanaamin katiba mpya itawapeleka ikulu.
Pole Sana ninyi chadema,binafsi siungi hoja ya kuwa na mjadala wa katiba mpya ,iliyopo idumu hata miaka elfu moja
UzalendoHivi wanaccm wote mmelazimishwa kuandika jambo hilo hilo?
Unaonaje kwa sasa badala ya katiba mpya hayo maeneo yenye mapungufu yakafanyiwa marekebishoInashangaza sana kusikia kiongozi kama huyu anatamka maneno kama haya bila hata aibu. Kuwa eti taifa letu halihitaji katiba mpya? Mbona hata mwl Julius Nyerere alishawahi kusema kuwa hii katiba ya JMT ya mwaka 1977 ina mapungufu!..
Wajinga hawa! Suala la Katiba mpya sio utashi na matako ya viongozi wa CCM, ni utashi na matakwa ya Watanzania!CCM says it has no constitutional agenda currently.
June 14, 2021. TANGA.
Ndo maana kuna wakati kulikuwa na uhitaji wa ELIMU YA URAIA kwa wananchi hasa kufundishwa shuleni.Hao wananchi walio wengi bado hawajajitambua na wala kuuona umuhimu wa katiba mpya.
Ndomaana swala la katiba mpya limeonekana kuwa ni takwa la wanasiasa au kikundi cha watu.
Kiujumla watanzania bado tupo kwenye usingizi mzito ulioambatana na mvua.