Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sasa kuna system inaitwa kung'ata na kupuliza kama panyaHawana msimamo hawa watu. Kesho Mama akibadli mtazamo, watakuwa wa kwanza kumpongeza.
Wanacheza na Akili zetu hawaHawa CCM Waache Utani
Mbona Walitaka Kumuongezea Muda Yule.
.
Hapo ni swala la kusubiri kama wataweza kutendaWameshindwa kurndeleza nchi miaka 60 iliyo pita wata weza leo?
Una statement yeyote kutoka CCM kuhusu hilo?Hawa Ccm Waache Utani
Mbona Walitaka Kumuongezea Muda Yule..
.
Ila hii nchi tumepigwa sanaKatiba sio hisani ya mtu wala chama....
Hao wananchi walio wengi bado hawajajitambua na wala kuuona umuhimu wa katiba mpya.Katiba si matakwa ya mtu mmoja mmoja wala chama cha siasa. Ni matakwa ya wananchi walio wengi.
Wananchi gani unaowazungumzia wewe wananchi wanataka maendeleoKatiba Mpya Sio Takwa la Mtu au Chama ni Takwa la Wananchi
Marekani imeendelea baada ya miaka mingapi?Wameshindwa kurndeleza nchi miaka 60 iliyo pita wata weza leo??
Umepigwa wewe jisemeeIla hii nchi tumepigwa sana
Wananchi gani unaowazungumzia wewe.wananchi wanataka maendeleo
Huyo aliyeyasema hayo amewasiliana na mwenyekiti wake? Maana asishangae kusikia mwenyekiti amepindua meza ikawa kama waleeeeeeeeeeeeeeeeee!!!CCM yasema haina agenda ya katiba mpya kwa wakati huu, kipaumbele chake ni kujenga nchi.
- Wanasiasa waache kuitumia agenda hiyo kama turufu ya kuwahadaa wananchi.
Wote tupo kwenye hii serikali inayo fanya hayaUmepigwa wewe jisemee
Ndo serikali yetu hiiUjinga unaanza upya? Kama hawana nia si watulie tu, ya nini kutuvuruga akili mapema yote hii!!
Marekani iliundwa kabla ya Tanzania?Marekani imeendelea baada ya miaka mingapi?
CCM itajikuta kuwa a political dinosaur.CCM YAVUNJA UKIMYA KUHUSU KATIBA MPYA.
✓Yasema kwa sasa sio kipaumbele chake.
✓Yajielekeza katika kujenga nchi kwanza.