fafanua vizuri hapo ufedhuli umekusudia nini? Ili tujuwe tunamjadili Shaka kama naniHapa Mwenyekiti Samia amekwenda mchomo na ni vizuri akambadilisha haraka sana.
Ataivuruga CCM kwani jamaa hamna kitu zaidi ya kuwa mtu wa mipasho na ufedhuli. Chama Chetu atakiua kama alivyokiua Zanzibar.
Na akimaliza miti hukuja mwilini.
alisimamishwa na RAIS lkn pia Ameaminiwa na kupewa majukumu na RAIS. hapo mambo yapo sawa sawa.Kwanini watu wakijadili mapungufu ya mtu mnaita majungu? Magu alituambia amemsimisha kazi Shaka kwa rushwa Sasa vp tena kateuliwa.
Alikua anafanya mazoeziTwambie sababu iliyo mfanya akimbie usiku usiku kutoka mombasa!
Huyu alitangazwa na Mungu Jiwe,kuwa no mla rushwa ! CCM mnasafari ndefuWivu wa kike huo.
Sijui unaelewa maana ya tuhuma? acheni wivu.Nimeshangazwa sana na huu uteuzi. Huyu mtu alikuwa amesimamishwa kwa ajiri ya kuchukua rushwa.
Ushahidi hupo wazi kabisa, inaonyesha dharau kubwa kwa wananchi. Kwamba rushwa ni kitu cha kawaida sana ndani ya CCM, infact message ni kwamba ukiwa mla rushwa mkubwa, utapandishwa cheo.
Mama anaanza kujiharibia mwenyewe mapema sana bila sababu za msingi.
Kwani ameteuliwa na Magufuli?Kwanini watu wakijadili mapungufu ya mtu mnaita majungu? Magu alituambia amemsimisha kazi Shaka kwa rushwa Sasa vp tena kateuliwa.
Huo ndio ukweli wenyewe, mama kachemsha.Mtu ambaye ametuhumiwa kwenye sakata la rushwa hasafishiki kwa urahisi......kumteua mtu huyo ni matusi na dhihaka kwa unaowaongoza kama sio unaowatawala........TANZANIA tuna safari ndefu sana.
Nimeshangazwa sana na huu uteuzi. Huyu mtu alikuwa amesimamishwa kwa ajiri ya kuchukua rushwa.
Ushahidi hupo wazi kabisa, inaonyesha dharau kubwa kwa wananchi. Kwamba rushwa ni kitu cha kawaida sana ndani ya CCM, infact message ni kwamba ukiwa mla rushwa mkubwa, utapandishwa cheo.
Mama anaanza kujiharibia mwenyewe mapema sana bila sababu za msingi.
Ipo kila mahali mkuu, tukizungumzia katika vyama hata upinzani ipo tena rushwa mbaya kabisa, ngonoRushwa na ccm ni kambale na maji
Je huko ccm hiyo rushwa ya ngono haiko? Kama haiko ilikuwaje covid 19 wakapitishwa na kulindwa na CCM dhidi ya CDM?Ipo kila mahali mkuu, tukizungumzia katika vyama hata upinzani ipo tena rushwa mbaya kabisa, ngono
Wakemee tabia ya kula rushwa au wakemee kelele dhidi ya wala rushwa.kama kawaida yetu, tumejaaliwa majungu na fitina.
sijui hizi tabia za kufitiniana na majungu zitakwisha ln. tabia mbaya sana hizi, nazichukia sana!
viongozi kemeeni tabia hizi
nyie teteaneni tu,lkn mke wa mfalme hata tetesi tu zinatosha kumvunjia mji.Mambo ya rushwa yanatakiwa yaishie mahakamani. Huyo jamaa alifikishwa huko na kupatikana na hatia? Huo ndio uthibitisho.
Chawa wa kiongozi wa 'Malaika'.Hapa Mwenyekiti Samia amekwenda mchomo na ni vizuri akambadilisha haraka sana.
Ataivuruga CCM kwani jamaa hamna kitu zaidi ya kuwa mtu wa mipasho na ufedhuli. Chama Chetu atakiua kama alivyokiua Zanzibar.
Na akimaliza miti hukuja mwilini.