ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Ulitaka ateuliwe nani?? Toa jina moja tu mkuu
60 milioni unakosa wa kumteua. Be serious.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka ateuliwe nani?? Toa jina moja tu mkuu
ielewemitaa hana muda wa kukaa na kuskiliza umbea nadhaniNimeuliza swali wewe unasema namchafua. Kwani na wewe ulishasikia hizi tuhuma za ushoga?
Ndio wataje hao wengi sasaHata Mimi nilishangaa sana labda kwa Shigela kidogo uwezo anao ktk hii nafasi ninaamini ndani wako wengi wenye uwezo ktk hii nafasi
Wacheni. Akifeli atatolewa ulitaka uendelee n polepole maviete?Hapa Mwenyekiti Samia amekwenda mchomo na ni vizuri akambadilisha haraka sana.
Ataivuruga CCM kwani jamaa hamna kitu zaidi ya kuwa mtu wa mipasho na ufedhuli. Chama Chetu atakiua kama alivyokiua Zanzibar.
Na akimaliza miti hukuja mwilini.
Hawato kujibu daima dawamaTatizo la Shaka ni nini?
Okey, nyie waacheni wabugi na nyie endeleeni kufanya sherehe.Kwa wana ccm hapo wamebugi sana ila kwa upande wa upinzani ndiyo sherehe maana adui muombee majanga
Kwahiyo nyinyi wapinzani mnaionea huruma CCM?? Na mnaitakia mema sio???Shaka hama sifa ya kuongoza hiyo idara kwani mwenyewe anashindwa kujisimamia
Paka akiwa anakutafuna lazima akupulizie ili uendelee kusikia upo sehemu salamaKwahiyo nyinyi wapinzani mnaionea huruma CCM?? Na mnaitakia mema sio???
Acha hizo wewe hahahahahahahahh
Tena wapo wengi kweliwewe Kama nani hadi unipangie cha kusema au cha kuandika, mnalipwa ili mumchafue Rais mitandaoni kisa tu sio wa upande wenu,
Mku uwenezi ni sio ngonjera kumbuka alikopitia na historia ndiyo inampa mtu udhabiti wa kusimamia watu .Hizi sio zama za mihemko bali ni zama za hoja ambazo zitakijenga chama.Tatizo la Shaka ni nini?
Kwa mihemko sawa.Uwezo gani unaosema wewe ambao Shaka hana?
Kwa hiyo shaka hayumo kwenye hao 60 million??60 milioni unakosa wa kumteua. Be serious.
Na kama ni kutumia tuhuma kama kigezo, hakuna mtu ndani ya CCM anafaa kuwa Kiongozi. Wote wana tuhuma.Kwahiyo watu wasifanye kazi kisa tuhuma?ebu acheni kelele , mtu anaweza kukutuhuma lakini kama ajathibitisha hizo tuhuma unakuwaje na hatia? wewe tuhumu upendavyo kama hujathibitisha hizo tuhuma hizo zinakuwa ni kelele
Tuhuma zozote zile bila ushahidi/uthibitisho ni MAJUNGU na FITINA.Majungu yapi wakati Mwendazake alimtangaza waziwazi kuwa amemsimisha kwa sababu amekula rushwa? Majungu gani wakati amedukuliwa akizungumzia milioni kadhaa alizopokea? Ingekuwa vyema kama mamlaka husika ingemuosha kabla ya kumteua. Wangetuambia kuwa alikuwa anawatega wengine na aliyosikia Mwendazake yalikuwa majungu. Tofauti na hivyo watu tutaendelea kuamini kuwa ni mla rushwa mpaka tutqkapoambiwa tofauti.
Amandla...
Kwa hiyo shaka hayumo kwenye hao 60 million??
Na ile recording nayo sio ushahidi?Tuhuma zozote zile bila ushahidi/uthibitisho ni MAJUNGU na FITINA.