Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kwa uteuzi huu wa mtu aliyekataliwa na jiwe kwa tuhuma za rushwa .Usiwe na hofu mkuu CCM ipo imara na kinachofanyika ni kufuta nyayo tu njia ipo pale pale au huwaamini Wazenj?
Huu ni ushahidi kwamba mama hayupo pamoja na mawazo ya jiwe.