Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hata wewe kuendelea kumtaja Makonda ni kuwakosea heshima wana jfMtdkuqa mmetumwa na MAKONDA, maana alienda Dodoma bila mwaliko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe kuendelea kumtaja Makonda ni kuwakosea heshima wana jfMtdkuqa mmetumwa na MAKONDA, maana alienda Dodoma bila mwaliko.
Shaka hana sifa ya kuisimamia idara hiyoUnataka nchi ya mazoba kila kitu hewala?
Nakuunga mkonoRUSHWA SIO JAMBO GENI KWENYE SERIKALI YA CCM.....LAKINI TUNALAZIMIKA KUIKEMEA KWA KUWA WAO NDIO WALIOPO MADARAKANI....
Sukuam gang kaziniJifunze kufikiri kwa usahihi,unatupa picha hasi kuhusu malezi yako,hebu jaribu kusoma michango yako taratibu,utaona tofauti na ya Wenzio,jf ni kama chuo,watu wanajifunza,lkn kuna wanafunzi wengine ni wapumbavu wanaondoa ile dhana halisi ya kujifunza,michango yako ni wewe na wasukuma,au wewe na jpm,hata km hoja hailengi hapo,wewe unalazimisha mambo ya hovyo hovyo,dili na uwezo wa mtu,usidili na kabira lake,
Kwanini wewe usiwe ndiye umevurugwa ?Mkuu,huyu task force ana shida ya afya ya akili,dishi limecheza,fuatilia michango yake utaiona,
Nia yao angepewa MADUHUEti arudishe rushwa kwa madiwani"" we kweli ujitambui, kwaiyo mlitaka iyo nafasi ya katibu mwenezi apewe nani, makonda au masanja au maziku
Hadi mwaka huu uishe wataisoma namba maana hawana tena wa kuwafadhiliWasukuma wamefura kwa hasira
Ebu wacha kurohoja kama mjane.
Mnamchafua sana mama na kutaka kumkwamisha .Wapi mama kachafuliwa?,
Majungu yapi wakati Mwendazake alimtangaza waziwazi kuwa amemsimisha kwa sababu amekula rushwa? Majungu gani wakati amedukuliwa akizungumzia milioni kadhaa alizopokea? Ingekuwa vyema kama mamlaka husika ingemuosha kabla ya kumteua. Wangetuambia kuwa alikuwa anawatega wengine na aliyosikia Mwendazake yalikuwa majungu. Tofauti na hivyo watu tutaendelea kuamini kuwa ni mla rushwa mpaka tutqkapoambiwa tofauti.kama kawaida yetu, tumejaaliwa majungu na fitina.
sijui hizi tabia za kufitiniana na majungu zitakwisha ln. tabia mbaya sana hizi, nazichukia sana!
viongozi kemeeni tabia hizi
Ulitaka ateuliwe nani?? Toa jina moja tu mkuuNimeshangazwa sana na huu uteuzi. Huyu mtu alikuwa amesimamishwa kwa ajiri ya kuchukua rushwa.
Ushahidi hupo wazi kabisa, inaonyesha dharau kubwa kwa wananchi. Kwamba rushwa ni kitu cha kawaida sana ndani ya CCM, infact message ni kwamba ukiwa mla rushwa mkubwa, utapandishwa cheo.
Mama anaanza kujiharibia mwenyewe mapema sana bila sababu za msingi.
Weka ushahidiHapa Mwenyekiti Samia amekwenda mchomo na ni vizuri akambadilisha haraka sana.
Ataivuruga CCM kwani jamaa hamna kitu zaidi ya kuwa mtu wa mipasho na ufedhuli. Chama Chetu atakiua kama alivyokiua Zanzibar.
Na akimaliza miti hukuja mwilini.
Kwa pamoja tutafika tu mkuuUbarikiwe mzalendo......
Tanzania kwanza....
Ambao ni wasukumu??Naamini kuwa Raisi Samia hana mshauri madhubuti au analishwa maboga mwitu nae anavamia,Shaka ? Hivi CCM kumekosa watu ? naona Samia anawachiwa mzigo taratibu.Nilishasema Nchi awaachie wenyewe .
Ccm hakuna aliye msafiWeka ushahidi
Umemaliza kaziAmbao ni wasukumu??
🙌🙌🙌🙌🙌🙌Sio kweli Mbona Lowassa alisafishika week moja, na mafuriko ya watu alipata vizuri tuuu