Shaka Hamdu Shaka: Sukuma ndani! "Mkibaini mchwa yeyote popote wa fedha za miradi ya Umma"

Hivi ndivyo chama tawala kinapaswa kiwe hivyo siyo kusifia tu kama walivyofanya uongozi ulio expire miaka mitano ilopita
 
Kingwangala aliongoza wakati wa Shaka kweli?

NATAKA KUHAMIA CCM WAKUU,

mimi ni chadema kitambo ila kwa sasa kwa yanayoendelea nimeamua nihamie tu CCM,
Chama na Serikali wote wananifurahisha sana na nimeridhika naweza kuishi CCM, Naombeni kadi wakuu
Hongera Chama cha Mapinduzi
Id za kupamba mama wa kambo.
 
JF vituko haviishi kuna ID mbili hapa zina milikiwa na mtu mmoja mods hamja zishtukia tu ?

Cc Moderator
 
😍
 
Komredi El Comandante Shaka H.Shaka amenena......πŸ’ͺπŸ‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…