Shaka Hamdu Shaka: Sukuma ndani! "Mkibaini mchwa yeyote popote wa fedha za miradi ya Umma"

NATAKA KUHAMIA CCM WAKUU,

mimi ni chadema kitambo ila kwa sasa kwa yanayoendelea nimeamua nihamie tu CCM,
Chama na Serikali wote wananifurahisha sana na nimeridhika naweza kuishi CCM, Naombeni kadi wakuu
Hongera Chama cha Mapinduzi
Huja wahi kuwa chadema. Wewe ni kada wa ccm
 
Kusema ni rahisi,ila vitendo ni ngumu maana system yote ni corrupt.........
 
NATAKA KUHAMIA CCM WAKUU,

mimi ni chadema kitambo ila kwa sasa kwa yanayoendelea nimeamua nihamie tu CCM,
Chama na Serikali wote wananifurahisha sana na nimeridhika naweza kuishi CCM, Naombeni kadi wakuu
Hongera Chama cha Mapinduzi
14|10|2021

Kesho Rais Samia atakuwa Chato kwenye kuzima Mwenge karibu sana
 
Safi sana
 
JPM mwenyewe alikua na ubavu wa kusukuma ndani majizi, kwa serikali hii sijui, ngoja tuone...

Kwanza mama hapendi ukali wala ugomvi...
 
JPM mwenyewe alikua na ubavu wa kusukuma ndani majizi, kwa serikali hii sijui, ngoja tuone...

Kwanza mama hapendi ukali wala ugomvi...
Unacho shangaa ni nini?

Agizo la chama tayari subiri matokeo au kama na wewe muhusika jaribu uone mwoto,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…