Shaka Hamdu Shaka: Sukuma ndani! "Mkibaini mchwa yeyote popote wa fedha za miradi ya Umma"

....na kama atapatikana mtu yeyote kaiba hizi hela za umma lazima akamatwe na kukatwa dushe tena hadharani ili kuwashikisha adabu maana huku mitaani mwizi akiiba hana haki, tunamkata mapanga na kumlawiti kabla hatujamuua. Viongozi wezi wa serikali ni mali yetu kwani ni wafanyakazi wa umma na sie ndiye tunaowalipa hela zetu za machungwa na madafu....so wakibainika tafadhali Mh. Rais Samia tupe sisi hao viongozi tuwashikishe adabu maana wewe utawaonea huruma.....Kwa kweli tumewachoka hawa wapumbavu.
 
Hahaha no mkuu hapa ni Tanzania
 
Umenifurahisha japo Tanzania haliwezekani
 
Nivile hujui modality ya Uongozi tanzania
 
VIVA SAMIA,
VIVA MPANGO,
 
Huyu mjomba namuelewa sana kwani anajua shida huyu,
Tangu aje kwenye chama mambo yamekuwa vizuri Sana,
Hongera Samia hongera Shaka
Mnalipwa 10,000 badala ya 7000 nini?
Hamkopwi tena!!??
 
Shaka ni mtu na nusu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…