Shaka Hamdu Shaka: Sukuma ndani! "Mkibaini mchwa yeyote popote wa fedha za miradi ya Umma"

Umeulizwa swali,hujajibu, unakimbilia kuuliza swali!!??
Usininukuu tena tafadhali.
Sina muda mchafu wa kujadiliana na mtu asiyejua maana ya majadiliano.
Uzalendo ni kusimama na nchi yako wakati wote na Rais wako pale tu anapopatia,

Karibu kwa mjadala
 
Hata siku moja ma CCM, na upigaji hawajawahi kuwa mbali mbali!!hayo ni maneno tu tena , pesa hizi ndio zitapigwa kweli kweli, enzi za jitu katili watu waliweza kupiga licha ya vitisho vyote vile sumbuse sasa hivi?!!hahaaaa!!!utaniambia
Haaa haaaa maneno ya maandalizi ya kupiga .CCM oyeee.
 
CCM CHAMA
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…