=======
Mwenyekiti mpya wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amemteua Shaka Hamdu Shaka kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi.Shaka Hamdu Shaka ndiye Katibu Mwenezi na Itikadi wa Chama cha Mapinduzi CCM akichukua nafasi ya Humphrey Polepole aliye teuliwa kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
Aliwahi kusimamishwa kazi na Mwenyekiti wake Rais Magufuli wakati huo akiwa Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro kwa kosa la kula rushwa.
1} Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro, Shaka Hamdu Shaka asimamishwa kwa tuhuma za rushwa
----
Makada wengine waliowahi kuwa Makatibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi soma
- Mzee Kingunge Ngombale–Mwiru
- Omary Mapuri aliyeteuliwa kuwa Mjumbe wa tume ya Uchaguzi amewahi kuwa Katibu Mwenezi CCM
- John Mgesa
- Jackson Msome - Katibu Mwenezi
- John Chiligati
- Aggrey Mwanri
- Christopher Ole Sendeka
- Nape Nnauye
- Humphrey Polepole ateuliwa kuwa Katibu itikadi na Mwenezi
- Shaka Hamidu Shaka, mrithi wa Polepole nafasi ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM
- Sophia Mjema ateuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM
- Paul Makonda ateuliwa na CCM kuwa Katibu Itikadi na Uenezi Taifa
- Amos Makalla ateuliwa kuwa Katibu Itikadi na Uenezi wa CCM