Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
Chakraa maa a yake nini chifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chakraa maa a yake nini chifu
Tuyaache mkuu, ndo maana nimesema nasikia Sina ushahidi.Chakraa maa a yake nini chifu
Sijakana kama umeyasikia au hujayasikia mimi nataka tu kujua maana ya neno chakraa au hutaki nijifunze kutoka kwako mkuuTuyaache mkuu, ndo maana nimesema nasikia Sina ushahidi.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Yap nimepata mwongozoNatumaini umeshapata ufumbuzi
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] so kwa maza uchawi umedunda sio?Uchawi unaexpire kale kazee polepole uchawi tu
Acha mashkara mkuu? anataka kwa kama yule dogo wa MoroNi biriani fulani hivi
Acha kabisaMzee wa vieiteee, mzee wa manunuzi ya wanasiasa wa upinzani chali .... ha ha haha Dunia hii bana !!
Naoma ndio hivyoKwahiyo Bia yetu = Pombe
Tarehe aliyozikwa chifuWalizikwa lini mkuu
Duh sikulijua hili[emoji848][emoji848]Tarehe aliyozikwa chifu
Tuliwazika kiroho ila kimwili tupo nao... Wamebaki kama maboksiDuh sikulijua hili[emoji848][emoji848]
Unakumbuka comment yako alipofukuzwa moro kwa rushwa??Duh......kweli CCM inajengwa kwa upya!
Ulikuwa mbele ya mudaUkimuweka Shaka na Nape nitamchagua Nape. Jumuiya iliyumba enzi ya Shaka ndio maana nina mashaka
WamekusikiaNauliza hivyo kwa sababu kuuliza siyo ujinga.
Shaka, anazo tuhuma zaidi ya mamia ya uvunjaji wa sheria za Nchi hasa kuomba rushwa kosa ambalo ni bayana.
Ajabu huyo Mzanzibar kataeuliwa na mwezake katika nafasi ambayo ni wazi humuhitaji mtu aliye safi.
Ama kuna kigezo tofauti na usafi wa maadili uliomfanya Samia amteue Shaka?
Shaka Chali NaTuhuma ZakeWamekusikia