Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,160
- 3,368
Wewe unaishi dunia gani? Unakuja kwa kukurupuka viongozi wa chama si walishatangazwa kitambo kwenye mkutano mkuu wa CCM?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi sijui mkuu nlikua nje ya mjiniWewe unaishi dunia gani? Unakuja kwa kukurupuka viongozi wa chama si walishatangazwa kitambo kwenye mkutano mkuu wa CCM?
CCMchannel am missing you so much!😂😂😂Sechi humu..
JF ipo kukupa habari zote..
Kidumu chama cha mapinduz
Unawatage hao watu wakati walizikwa na chifu?Kuna taarifa zimenifikia kutoka chanzo changu cha habari kwamba Bw. Humphrey Polepole kapigwa chini kuwa msemaji wa Chama Taifa na badala yake kuna "Kijana mdoogo" ndio kachukua mikoba...
Nasikia NI chakraa.Ni mtoto wa dada yake Samia.
CCMchannel am missing you so much!😂😂😂
Usirudie Kumtag Bia yetu, hii ni ID yawendazake.
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44] so mzenji??Ni mtoto wa dada yake Samia.
[emoji12][emoji12][emoji12]
Walizikwa lini mkuuUnawatage hao watu wakati walizikwa na chifu?
Meaning? [emoji848][emoji848][emoji848]
Hujajibu anachotaka kujuaWewe unaishi dunia gani? Unakuja kwa kukurupuka viongozi wa chama si walishatangazwa kitambo kwenye mkutano mkuu wa CCM?
[emoji1781][emoji15][emoji15][emoji15] ndio maana ipo. Deactivated??Usirudie Kumtag Bia yetu, hii ni ID yawendazake.