Shaka Hamidu Shaka, mrithi wa Polepole nafasi ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM

Shaka Hamidu Shaka, mrithi wa Polepole nafasi ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM

Ccm inazidi kustawi huku kila kiongozi akiwa na zama zake.

Machadema acha yaendelee kukaa kwa amsterdam sisi tuendelee kujenga nchi
Kwani katika hizo teuzi aliyekodiwa ni nani si walikuwemo humohumo? hii ni sawa na kudirishana no. uwanjani halafu ukajisifu kuwa umeimalisha timu.
 
Mama yupo makini kufanya kile anachotaka kukifanya kwa ustadi na kwa tathimini yangu naona hewa ya Oxygen imezidi kushamiri Tanzania.
 
Huyo kijana ni mkorofi sana na kwa ufupi waZanzibari wanasema hana adabu,kama haitoshi ni mwepesi sana kutoa matusi kama haitoshi anatokea anakotokea Raisi Samia,waZanzibari kama mpo watatosa wanayoyajua,ila namkumbuka sana wakati wa miaka iliyopita ukifuatilia siasa za Zanzibar,inasemekana alihamishwa Zanzibar na kuletwa bara kwa sababu za kiusalama wake,wazenji wanamchukia sana,ila sijui kama ndio huyo.
 
Polepole ana shida zake nyingi tu, hafai kuendelea kubaki katika hiyo nafasi ila sio kwa kumleta Shaka... Hivi Shaka ana ushawishi gani huku bara ambapo ndio kwenye mtaji wa kura...

Shaka akishawahi kuwa katibu mkuu wa uvccm nadhani je alitumia nafasi hiyo kufanya nn cha maana
Ni zamu yetu sisi Wazanzibari,au nasema uongo ndugu zangu?
 
Sasa kile kipindi cha Channel ten itakuwaje?

Duhh hata kikiendelea sio mbaya ila sio kwa mtindo ule yaani alikuwa anawaita ma RC, DC. Wakuu wa vitengo, Mahakama kama vile yeye ni JPM halafu usiku wa manane kweli jamani?....kweli kila zama na kitabu chake
 
Shaka naona kama Domo zege lililotepeta ebu sikiliza audio clip yake ya miango ya rushwa ndio utaona kweli ataweza tantalila? Pili shaka ni BOFLO.
 
you so stu-pid and lazy. hii ni point nayo unaongea. sasa kuna tatizo gani kama anatatua matatizo ya wananchi. ndio maana wakenya wanasema tuna kila kitu lakin hatuwapiti kwa maendeleo, kwa akili kama yako hatuwezi fika.

Sema kwa akili zenu za Lumumba hatuwezi kufika
 
Aisee hawa ni vichekesho!
Halafu huyo Katibu mpya Chongolo si mteule wa JPM pia?
Alikuwa mkuu wa wilaya kaletwa chamani!

Sasa hawa inakuwaje?
Hebu nifafanulie mkuu!
Jpm na Samia ni kitu kimoja, ndiyo maana anateua wateule wake
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aliwapiga chenga ya mwili. Mama ana akili kubwa. Habwabwaji hovyo kama yule jinamizi. Yeye ni mwendapole wa uhakika. Very strong woman. Our strongest President. Tanzania mpya. Vunjia mbali dikteta na masalia yake.
Anaitwa Iron lady
 
Nimeongelea ccm , hizo habari za vyama vingine ukitaka vifungulie uzi wake.
ivi kwann swala la demokrasia kwenye chama chenu mnlikwepa sana, mbna sisi bashiru ameachia kiti
 
Tulisema kuwa huu ndiyo mwisho wa waramba miguu wa jiwe watu wakatubishia ona sasa kina Bashiru na Polepole wanatupiwa virago mchana kweupeeeeee
Wewe hujui kitu mbona hao walishaondoka kwenye chama baada ya kuteuliwa kwenye nyadhifa mpya!!?
 
Back
Top Bottom