Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Wasukuma banaKamanda we vipi? Mbona wewe hauko kama nyumbu wenzio!?
Sikuoni sana ukiimba mapambio ya CCM na Samia?
Unajitambua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasukuma banaKamanda we vipi? Mbona wewe hauko kama nyumbu wenzio!?
Sikuoni sana ukiimba mapambio ya CCM na Samia?
Unajitambua?
Watu kama hao sio wa kuwajibu mkuu... WatakuchoshaMimi naona anafanya balance Bara na visiwani. Mbona iko wazi hiyo? Katibu Bara, Mwenezi Visiwani. Kuna shida hapo? Akifanya uteuzi watendaji nako anajitahidi balance. Shida iko wapi? Tatizo Tanzania Bara ni kubwa hawezi kufikia kila mkoa au Wilaya. Na pia anaangalia mambo mengi katika uteuzi kama elimu na uzoefu na uchapakazi.
Ilikua mombasa ile.mombasa au OMAN?
Alikuwa anamsumbua Mambosasa kama mdogo wake.Polepole alifikia hatua ya kupigia simu hadharani usiku Watendaji wa Serikali kama vile yeye ndio Waziri Mkuu.
Yule bwana anasema wananchi wanguTena tunasongesha kwa hatari kabisa. Yaani utafikiri tumezaliwa upya Tanzania. Ndiyo hapo tinatofautisha Dikteta na Kiongozi.
Waramba miguu woote sasa hivi wako hoi bin taabaniYEHODAVA huyuView attachment 1769149
Huyu siyo kichaa kama nyinyiUnarudi lini CCM, mwenzio Nyalandu Kesha rejea!!
Wewe jamaa hujutambui. Umenaki kusherehekea haya..Bashiru njeeee
Polepole njeeeee
Kazi bado inasonga
Anachofanya mama Samia ni kupiga deki na kihakikisha kuwa hakuna masalia ya jiwe.
Wafanye uchaguzi kwani kuna aliyekufa kwa covid?hehehe mnafanya uchaguzi kwenu lini boss
Hapo umenena Mkuu. Mwenye macho na aone na mwenye masikio na asikie. Hasa kwa wale wenye nafasi za kuteuliwa wana la kujifunza kutoka kwa Polepole na Bashiru.Humphrey Polepole, vieite limefika kikomo, jifunze kuwa na adabu
Ubaijua vieteeeLeo atayaota yale MA V80 na Hard body....!! Kwa Sasa yeye ni same as Viti maalumu.....!!
Shaka anatia shaka maana aliwahi kutamka kwamba Zitto anapaswa kuuawa, uenezi wake unatia shakaShaka Hamidu Shaka, ameteuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akichukua nafasi ya Humphrey Polepole ambaye ni Mbunge wa kuteuliwa.
=======
Mwenyekiti mpya wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amemteua Shaka Hamdu Shaka kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi.Shaka Hamdu Shaka ndiye Katibu Mwenezi na Itikadi wa Chama cha Mapinduzi CCM akichukua nafasi ya Humphrey Polepole aliye teuliwa kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
Aliwahi kusimamishwa kazi na Mwenyekiti wake Rais Magufuli wakati huo akiwa Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro kwa kosa la kula rushwa.
1} Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro, Shaka Hamdu Shaka asimamishwa kwa tuhuma za rushwa
Duh! ndio kwanza nasikia hiloAliwahi kuolewa kabisa huko Mombasa.
Haaaaa Haaaaa 😂 jamani nimecheka 😂Humphrey Polepole, vieite limefika kikomo, jifunze kuwa na adabu
Ubaijua vieteee
Saizi ni mwendo wa Harrier Tako la Nyani.Humphrey Polepole, vieite limefika kikomo, jifunze kuwa na adabu