you so stu-pid and lazy. hii ni point nayo unaongea. sasa kuna tatizo gani kama anatatua matatizo ya wananchi. ndio maana wakenya wanasema tuna kila kitu lakin hatuwapiti kwa maendeleo, kwa akili kama yako hatuwezi fika.Polepole alifikia hatua ya kupigia simu hadharani usiku Watendaji wa Serikali kama vile yeye ndio Waziri Mkuu.