Shaka Hamidu Shaka, mrithi wa Polepole nafasi ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM

Shaka Hamidu Shaka, mrithi wa Polepole nafasi ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM

Eti wateule wa JPM.

Mwenyekiti wa CCM ambaye pia ni Rais John Joseph Pombe Magufuli amemsimamisha kazi Katibu wa CCM Morogoro kwa tuhuma za rushwa

KATIBU wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Morogoro, Shaka Hamidu Shaka amesimamishwa kazi na chama hicho ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za kula rushwa zinazomkabili.

Hayo yamebainishwa jana Alhamis Februari 11,2021 na Rais John Magufuli wakati akizindua soko kuu la Morogoro ambalo amependekeza liitwe Soko Kuu la Chifu Kingaru.

Hata hivyo licha ya Rais Magufuli kutomtaja jina amesema kuwa katibu huyo atajadiliwa kwa tuhuma za kula rushwa kutoka kwa madiwani wakati wa mchakato wa upatikanaji wa meya wa Halmashauli ya Manispaa ya Morogoro.

“Na wewe mstahiki Meya (Pascal Kihanga) nataka ubadilike najua umeupata umeya wa bahati bahati hapa, mimi napenda kuzungumza ukweli kwani nasema uongo ndugu zangu? Aliuliza Rais Magufuli na kuongeza,

“Hukutakiwa kuwa meya aliyetakiwa sikumrudisha kuwa meya na bahati mbaya hata utafutaji wa meya hapa ulikuwa umejaa rushwa na ndio maana Katibu wa CCM wa hapa tumemsimamisha kazi atajadiliwa kwa sababu alikula rushwa kwa madiwani,” alisema Magufuli.
Sikujua bavicha kama mnaifuatilia ccm kiasi hiki
 
Shaka Hamidu Shaka, ameteuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akichukua nafasi ya Humphrey Polepole ambaye ni Mbunge wa kuteuliwa.

=======

Mwenyekiti mpya wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amemteua Shaka Hamdu Shaka kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi.Shaka Hamdu Shaka ndiye Katibu Mwenezi na Itikadi wa Chama cha Mapinduzi CCM akichukua nafasi ya Humphrey Polepole aliye teuliwa kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .

Aliwahi kusimamishwa kazi na Mwenyekiti wake Rais Magufuli wakati huo akiwa Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro kwa kosa la kula rushwa.

1} Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro, Shaka Hamdu Shaka asimamishwa kwa tuhuma za rushwa
Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro, Shaka Hamdu Shaka asimamishwa kwa tuhuma za rushwa.

E0NhMwdXIAAW0HL (1).jpeg
 
Sikujua bavicha kama mnaifuatilia ccm kiasi hiki
Aisee hawa ni vichekesho!
Halafu huyo Katibu mpya Chongolo si mteule wa JPM pia?
Alikuwa mkuu wa wilaya kaletwa chamani!

Sasa hawa inakuwaje?
Hebu nifafanulie mkuu!
 
Aisee hawa nyumbu ni vichekesho!

Halafu huyo Katibu mpya Chongolo si mteule wa JPM pia?

Alikuwa mkuu wa wilaya kaletwa chamani!

Sasa hawa nyumbu inakuwaje?

Hebu nifafanulie mkuu!
Ila yatima hadi mnatia huruma bado mnaota labda kuna siku baba atarudi, mlijaa viburi sana mkiongozwa na chakubanga na bashiru, ila Mungu ni fundi sana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aliwapiga chenga ya mwili. Mama ana akili kubwa. Habwabwaji hovyo kama yule jinamizi. Yeye ni mwendapole wa uhakika. Very strong woman. Our strongest President. Tanzania mpya. Vunjia mbali dikteta na masalia yake.
Unarudi lini CCM, mwenzio Nyalandu Kesha rejea!!
 
“Mimi na JPM ni kitu kimoja” hahaaaa.

View attachment 1769221
Na wameshawajulia namna nzuri ya kuwalaghai kwa mazingaombwe ya kisiasa ili mtulie.
Sasa hapo kwa mfano kipi cha tofauti kilichofanywa na Bi. Samia?
Maana mimi binafsi sioni tofauti yoyote ile kubwa!

Hao akina shaka na chongolo wote walikuwa wateule wa JPM— na sasa wamerudi tena.
Watu wale wale, mawaziri wale wale, chama kile kile, dola ile ile, mfumo ule ule!
Vipi kuimba mapambio ya wokovu?
 
Ila yatima hadi mnatia huruma bado mnamuota baba labda kuna siku atarudi, mlijaa viburi sana mkiongozwa na chakubanga na bashiru, ila Mungu ni fundi sana.
Eeeeeh.... kumbe unanijua?

Lakini sasa hata kama ni kweli, kwanini nyumbu wanamshangilia Samia?

Hilo ndilo swali ninalojiuliza?
 
Shaka Hamidu Shaka, ameteuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akichukua nafasi ya Humphrey Polepole ambaye ni Mbunge wa kuteuliwa.

=======

Mwenyekiti mpya wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amemteua Shaka Hamdu Shaka kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi.Shaka Hamdu Shaka ndiye Katibu Mwenezi na Itikadi wa Chama cha Mapinduzi CCM akichukua nafasi ya Humphrey Polepole aliye teuliwa kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .

Aliwahi kusimamishwa kazi na Mwenyekiti wake Rais Magufuli wakati huo akiwa Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro kwa kosa la kula rushwa.

1} Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro, Shaka Hamdu Shaka asimamishwa kwa tuhuma za rushwa
Samia nafasi zote za juu anawapa ndugu zake wa zanzibar o waislam utasema anachagua viongozi wa madrasa o msikitini,tuna rais wa hovyo haijawahi kutokea toka uhuru.
 
Unarudi lini CCM, mwenzio Nyalandu Kesha rejea!!
Mimi niko nyumbani sijawahi kuhama. Sema upuuzi sikuendekeza kabisa. Na sitauendekeza. Kiongozi yoyote ambaye anaenda kinyume na uTanzania wetu sitamuunga mkono. Kiongozi mkumbatia mafisadi hawezi kuwa karibu nami. Hivyo toka awamu ya 4 ya wizi Iue mkubwa basi nilichafukwa nikawa naangalia tu. Hivyo kwa sasa nina amani kuwa mambo yatabadilika hasa kwa upande wa uhuru na amani. Mambo ya majizi Tanzania ni Mzizi mgumu sana unahitaji moto mkubwa wa coal.
 
Samia nafasi zote za juu anawapa ndugu zake wa zanzibar o waislam utasema anachagua viongozi wa madrasa o msikitini,tuna rais wa hovyo haijawahi kutokea toka uhuru.
Mimi naona anafanya balance Bara na visiwani. Mbona iko wazi hiyo? Katibu Bara, Mwenezi Visiwani. Kuna shida hapo? Akifanya uteuzi watendaji nako anajitahidi balance. Shida iko wapi? Tatizo Tanzania Bara ni kubwa hawezi kufikia kila mkoa au Wilaya. Na pia anaangalia mambo mengi katika uteuzi kama elimu na uzoefu na uchapakazi.
 
Back
Top Bottom