Luno G
JF-Expert Member
- Sep 22, 2012
- 2,549
- 1,849
Polepole ana shida zake nyingi tu, hafai kuendelea kubaki katika hiyo nafasi ila sio kwa kumleta Shaka... Hivi Shaka ana ushawishi gani huku bara ambapo ndio kwenye mtaji wa kura...
Shaka akishawahi kuwa katibu mkuu wa uvccm nadhani je alitumia nafasi hiyo kufanya nn cha maana
Shaka akishawahi kuwa katibu mkuu wa uvccm nadhani je alitumia nafasi hiyo kufanya nn cha maana