binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Kilikuwa kinatukera hata sisi wana CCM wenzake, Eti leo kinahubiri kofia moja kwa aibu yaani nimecheka!Ndo imetoka hivyo, kwanza kilikua hakina faida yoyote zaidi ya kuchafua hali ya hewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilikuwa kinatukera hata sisi wana CCM wenzake, Eti leo kinahubiri kofia moja kwa aibu yaani nimecheka!Ndo imetoka hivyo, kwanza kilikua hakina faida yoyote zaidi ya kuchafua hali ya hewa
Watakimbizana kama wakimbiza Mwenge🤣🤣🤣🤣CCM wamepoteana sasa
Ikiwa we unanuka mdomo humu kumwaga omoSasa pole pole akose viete?
Ya miloni 300 atakayokopeshwa na bunge anakosaje?
Uchunguzi ulitoa majibu gani? Je alikuwa bado amesimamishwa kabla ya uteuzi huu!!Eti wateule wa JPM.
Mwenyekiti wa CCM ambaye pia ni Rais John Joseph Pombe Magufuli amemsimamisha kazi Katibu wa CCM Morogoro kwa tuhuma za rushwa
KATIBU wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Morogoro, Shaka Hamidu Shaka amesimamishwa kazi na chama hicho ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za kula rushwa zinazomkabili.
Hayo yamebainishwa jana Alhamis Februari 11,2021 na Rais John Magufuli wakati akizindua soko kuu la Morogoro ambalo amependekeza liitwe Soko Kuu la Chifu Kingaru.
Hata hivyo licha ya Rais Magufuli kutomtaja jina amesema kuwa katibu huyo atajadiliwa kwa tuhuma za kula rushwa kutoka kwa madiwani wakati wa mchakato wa upatikanaji wa meya wa Halmashauli ya Manispaa ya Morogoro.
“Na wewe mstahiki Meya (Pascal Kihanga) nataka ubadilike najua umeupata umeya wa bahati bahati hapa, mimi napenda kuzungumza ukweli kwani nasema uongo ndugu zangu? Aliuliza Rais Magufuli na kuongeza,
“Hukutakiwa kuwa meya aliyetakiwa sikumrudisha kuwa meya na bahati mbaya hata utafutaji wa meya hapa ulikuwa umejaa rushwa na ndio maana Katibu wa CCM wa hapa tumemsimamisha kazi atajadiliwa kwa sababu alikula rushwa kwa madiwani,” alisema Magufuli.
Kule saccos mnaanza lini kisafisha, au mzee wa faru John kashawasafisha nyote?.Mama safisha taka mpaka chini ya kapeti. Vunjavunja vipuri vyote vya Udikteta. Tunakupenda saana
Wapo hoiWatakimbizana kama wakimbiza Mwenge🤣🤣🤣🤣
Mwambieni Polepole arudishe vieite limepata mwenyewe.Kule saccos mnaanza lini kisafisha, au mzee wa faru John kashawasafisha nyote?.
Hii picha naiomba nitakuwa namtumia Polepole kwenye WhatsApp yake hadi aniblockYEHODAVA huyuView attachment 1769149
Kwa hiyo point yako ni nini sasa?Ila yatima hadi mnatia huruma bado mnaota labda kuna siku baba atarudi, mlijaa viburi sana mkiongozwa na chakubanga na bashiru, ila Mungu ni fundi sana.
Yaani kika anayemkubali Mh. Samia ni CHADEMA? Kwa taarifa yako nina kadi ya chama miaka mingi kabla hujazaliwa wewe. Na kuwa mwana CCM siyo tiketi ya kukubali kila uozo wa chama. Toka zile enzi za wizi wa EPA, ESROW na akaingia tena Dikteta sikuafikiana na upuuzi ule. Na haimaanishi kuwa kama sikubaliani na nikipinga basi ni Mpinzani.Kule saccos mnaanza lini kisafisha, au mzee wa faru John kashawasafisha nyote?.
Kamua Mama,..kamua usitumie iliziAnacho fanya mama ni usafi wa ghala anatoa zagazaga zoote za jiwe na kuweka maahine mpya
Zamu ya wazanzibar kuongoza Tanganyika.Kamua Mama,..kamua usitumie ilizi
Tutaelewana tu.Hahahha... Leo lazima mlale na viatu
Sasa lile li V80 inakuwaje PolePole. Aliye juu mngoje chini ...... Sasa Polepole ni Viti Maalumu tu sawa na Cov 19!!Polepole abaki na ubunge wake kuteuliwa na mwendazake unamtosha.
Tatizo walikuwa wanaabudu mtuPolepole alifikia hatua ya kupigia simu hadharani usiku Watendaji wa Serikali kama vile yeye ndio Waziri Mkuu.
walifanyaje, ebu nipe matukio hata mawili tuHwa jamaa walijiona kwamba wao ndio ccm yenyewe na ambao wanaweza kufanya jambo lolote wakt wowote bila bughdha ya mtu yoyote, toka popote pale.
dah, watu wamefaidika sana na kile kipindi. ndio bas tenaSasa kile kipindi cha Channel ten itakuwaje?
CCM ni ileile toka enzi ya Baba wa Taifa! Wala usiumize sana kichwa chako,hata Mama nae muda ukifika mtaanza kuona hafai na mtatamani Jiwe arudi tena!!Mimi niko nyumbani sijawahi kuhama. Sema upuuzi sikuendekeza kabisa. Na sitauendekeza. Kiongozi yoyote ambaye anaenda kinyume na uTanzania wetu sitamuunga mkono. Kiongozi mkumbatia mafisadi hawezi kuwa karibu nami. Hivyo toka awamu ya 4 ya wizi Iue mkubwa basi nilichafukwa nikawa naangalia tu. Hivyo kwa sasa nina amani kuwa mambo yatabadilika hasa kwa upande wa uhuru na amani. Mambo ya majizi Tanzania ni Mzizi mgumu sana unahitaji moto mkubwa wa coal.