Shaka Hamidu Shaka, mrithi wa Polepole nafasi ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM

Shaka Hamidu Shaka, mrithi wa Polepole nafasi ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM

Chadema wajigeuza kuwa wapiga vigelegele wa mama....[emoji16][emoji16]

Kasi ya wanaorudi CCM pia yaongezeka... wengi kimyakimya isipokuwa criminal muuza wanyama aliyetumia chadema kama chaka la nisiguswe kaweka wazi kurudi CCM
Ukitaka mataga wafurahi we waambie maza na marehemu Magufuli ni kitu kimoja
 
Upinzani wajigeuza wapiga vigelegele wa ccm mpya[emoji16][emoji16]

RIP Mwamba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aliwapiga chenga ya mwili. Mama ana akili kubwa. Habwabwaji hovyo kama yule jinamizi. Yeye ni mwendapole wa uhakika. Very strong woman. Our strongest President. Tanzania mpya. Vunjia mbali dikteta na masalia yake.
 
Tanzania tuna chuki sana na hatupendani basi tu tunaishi. Comment za humu zinajieleza....
 
Lakini mnamuunga mkono mama kiongozi wa wehu... sasa hapo uzima wenu wa akili tuna udauti[emoji16][emoji16]

Watani njooni ccm kumenoga...

Mama anawapiga kwa mafumbo na taarabu...

Hakuna reggae za kisukuma... Sisawa jamani....

Turudini kwa chama kilichotulea hadi wazungu walipoleta vyama vingi..

RIP Jembe
Mimi siyo mwehu eti nikajiunge ccm
 
Lakini mnamuunga mkono mama kiongozi wa wehu... sasa hapo uzima wenu wa akili tuna udauti[emoji16][emoji16]

Watani njooni ccm kumenoga...

Mama anawapiga kwa mafumbo na taarabu...

Hakuna reggae za kisukuma... Sisawa jamani....

Turudini kwa chama kilichotulea hadi wazungu walipoleta vyama vingi..

RIP Jembe
Kwani PSYCHIATRIC doctor anadharaulika kisa kuwatibu vichaa na wehu kama nyinyi?
 
Vichaa wanatabia ya kuwaita madokta vichaa....

Ni kawaida kwa sisi madokta wa milembe kutamkiwa maneno kama hayo na ninyi wagonjwa[emoji16][emoji16][emoji16]
Kwani PSYCHIATRIC doctor anadharaulika kisa kuwatibu vichaa na wehu kama nyinyi?
 
Chadema yaunga mkono matokeo ya uchaguzi na yamuunga mkono mama.

Chamsingi chadema hamgusi maji... wala kulikaribia sinia[emoji16][emoji16]
MATAGA mtaimba nyimbo zote. Huyo ndiyo Rais wa Tanzania. Ni kiongozi siyo Dikteta
 
Katika wote sitatamani jiwe arudi. Hilo jiwe lingewekwa tu aliko kimwili kwa sasa. Anyway Siasa TANZANIA zimekuwa haziaminiki na kutoeleweka. Muhimu pata ugali na familia yako, boresha maisha yako ya sasa na uzeeni. Sitakaa nimuamini mwanasiasa. Hivi unakumbuka tulivyoaminishwa Ufisadi umekwisha? REPORT ya CAG 2019/2020 ndiyo ilinipa hasira mno. Ulimi na jicho la mwanasiasa yoyote yule usiamini. Hata kicheko chake kiogope.
kama amabavyo umeaminishwa jpm alisababisha ukose ugali,ndivyo watakuja kukwambia samia ni rais wa hovyo kuwahi kuwepo.

cha muhimu tumia akili.
 
Atakuwa anajisikia aibu sana na katika watu ambao kamwe hawataisahau CORONA basi mmojaw wapo ni Polepole na Bashiru
jana nilikuitisha kipato cha mbunge kwa mwezi,ukachochora.

wanyonge mna mawazo ya kinyonge saba.

ccm ina ile ile,kama ambvyo akina kigogo,sarungi,na karume wameanza kulia baada ya kuona hakuna tumaini la ulaji,nawewe tunakupa muda tu,utakuja kusema shaka hana jipya.
 
Anachofanya mama Samia ni kupiga deki na kihakikisha kuwa hakuna masalia ya jiwe.
tapatalk_1414808479.jpg
 
Back
Top Bottom