Shaka: Kabla ya Mapinduzi Matukufu lipo tabaka lililokandamiza, kubagua na kupuuza wengine huku likishindwa kujali "UTU" na kuwapuuza walio wengi

Shaka: Kabla ya Mapinduzi Matukufu lipo tabaka lililokandamiza, kubagua na kupuuza wengine huku likishindwa kujali "UTU" na kuwapuuza walio wengi


Na Mwandishi wetu Z'bar

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinajivunia mabadiliko makubwa yaliyofikiwa Zanzibar katika kipindi cha miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ambayo yamewafanya wananchi kujiamini na kujiitegemea kimaendeleo alisema Shaka Hamdu Shaka, Mwenezi CCM Taifa

Aliendelea kwa kusema Zanzibar imepiga hatua kubwa sana na Chama Cha Mapinduzi inatoa pongezi za dhati kwa kazi kubwa iliyokwishafanywa na inayoendelea kufanywa na serikali ya awamu ya nane chini ya Rais Dk. Hussein Ali Mwinyi, ikiendelea kuunga mkono juhudi za kukomesha ukandamizaji wa haki , ubaguzi, Dhulma na manyanyaso

Katika kipindi cha miaka 59 ya Mapinduzi matukufu licha ya kuleta ukombozi kamili lakini pia yamewafanya wananachi kuwa na fikra huru na kujitawala alisisitiza kwa unyenyekevu Ndg
Shaka Hamdu Shaka katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM Taifa

Kabla ya mapinduzi lipo tabaka lilokandamiza, kubagua na kuwapuuza wengine huku wananachi wakikosa haki za msingi na kutotumia fursa za kiuchumi sawa na utu wao kutothaminiwa, na kupuuzwa alisisitiza Ndg Shaka Hamdu Shaka ambie pia ni Msemaji wa CCM Taifa

Aliendelea kusema, Mapinduzi ya mwaka 1964 ni ushahidi kuwa Zanzibar ilikuwa na watu waliokoseshwa elimu bora, kutomiliki uchumi, ardhi, kukosa makaazi bora na kunyimwa huduma za jamii

Hata hivyo Serikali zote SMZ (Serikali ya Mapinduzi Zanzibar) na SMT (Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) zimetimiza wajibu wa kusimamia maendeleo. Rais Dk. Samia Suluhu Hassan na Rais Dk. Mwinyi baada ya miaka 59 wametafsiri mapinduzi ya ukombozi kuwa Mapinduzi ya kiuchumi. Maendeleo yanayoonekana sasa hayakuwepo miaka 200 ya utawala wa kikoloni

Anasema, Kazi kubwa iliyofanywa na Chama cha ASP ilikuwa kuhakikisha utawala wa ukandamizaji, uonevu na ubaguzi wa huduma za jamii unakomeshwa katika visiwa vya Unguja na Pemba kwa sera ya mapinduzi ya ukombozi na kazi iliyobaki ni kujenga uchumi na maendeleo.

Anatoa angalizo, "Ni vyema kwa watendaji waliopewa dhamana katika Serikali na taasisi za umma kuhakikisha wanatimiza wajibu wao kwa kumsaidia Rais Dk. Mwinyi ili akamilikshe kazi ya kutekeleza mapinduzi ya kiuchumi na kuongeza Kasi ya kuleta maendeleo."

"Kazi ya kumwondoa mkoloni aliyetawala kwa ubaguzi na ukandamizaji imemalizika. Kazi iliyobaki ni kuongoza kwa haki, umoja na maendeleo. Kukumbuka madhila yaliyokuwepo kabla ya mapinduzi kunatupa ari ya kufikia mabadiliko tuanayoyataka,

Baada ya kufanikisha mapinduzi ya mwaka 1964 na utawala kushikwa na ASP, Rais wa kwanza wa Zanzibar hayati Mzee Abeid Amani Karume alianza utekelezaji wa sera za maendeleo ikiwemo kutolewa bure kwa huduma za msingi"

Shaka anajivunia kazi kubwa ya CCM "Elimu imetolewa bure, maji safi na matibabu, serikali ikaweka viwango vya mishahara minono kwa mujibu wa ajira ya kila mfanyakazi, yamejengwa makaazi ya kisasa na sasa kazi hiyo inaendelezwa na serikali ya Rais Dk. Mwinyi,"

"Ni waombe watanzania wenzangu hasa vijana kutobabaishwa na porojo za baadhi ya wapinga maendeleo na mapinduzi matukufu ya 1964 ambao wamekuwa wapotoshaji wa ukweli kwa kudai serikali za CCM hazijafanya lolote tangu mwaka 1964 wakati asiliamia 98 ya maendeleo yaliyofanyika nchini yamepatikana katika utawala wa Chama Cha Mapinduzi" alihitimisha Ndg Shaka Hamdu Shaka, katibu wa NEC itikadi & Uenezi CCM Taifa.






Comrade shaka mfuatilie mtu anaitwa shehe ponda mtandaoni, anasema mapinduzi yachunguzwe, Kwa kweli anafundisha historia

Na Mwandishi wetu Z'bar

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinajivunia mabadiliko makubwa yaliyofikiwa Zanzibar katika kipindi cha miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ambayo yamewafanya wananchi kujiamini na kujiitegemea kimaendeleo alisema Shaka Hamdu Shaka, Mwenezi CCM Taifa

Aliendelea kwa kusema Zanzibar imepiga hatua kubwa sana na Chama Cha Mapinduzi inatoa pongezi za dhati kwa kazi kubwa iliyokwishafanywa na inayoendelea kufanywa na serikali ya awamu ya nane chini ya Rais Dk. Hussein Ali Mwinyi, ikiendelea kuunga mkono juhudi za kukomesha ukandamizaji wa haki , ubaguzi, Dhulma na manyanyaso

Katika kipindi cha miaka 59 ya Mapinduzi matukufu licha ya kuleta ukombozi kamili lakini pia yamewafanya wananachi kuwa na fikra huru na kujitawala alisisitiza kwa unyenyekevu Ndg
Shaka Hamdu Shaka katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM Taifa

Kabla ya mapinduzi lipo tabaka lilokandamiza, kubagua na kuwapuuza wengine huku wananachi wakikosa haki za msingi na kutotumia fursa za kiuchumi sawa na utu wao kutothaminiwa, na kupuuzwa alisisitiza Ndg Shaka Hamdu Shaka ambie pia ni Msemaji wa CCM Taifa

Aliendelea kusema, Mapinduzi ya mwaka 1964 ni ushahidi kuwa Zanzibar ilikuwa na watu waliokoseshwa elimu bora, kutomiliki uchumi, ardhi, kukosa makaazi bora na kunyimwa huduma za jamii

Hata hivyo Serikali zote SMZ (Serikali ya Mapinduzi Zanzibar) na SMT (Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) zimetimiza wajibu wa kusimamia maendeleo. Rais Dk. Samia Suluhu Hassan na Rais Dk. Mwinyi baada ya miaka 59 wametafsiri mapinduzi ya ukombozi kuwa Mapinduzi ya kiuchumi. Maendeleo yanayoonekana sasa hayakuwepo miaka 200 ya utawala wa kikoloni

Anasema, Kazi kubwa iliyofanywa na Chama cha ASP ilikuwa kuhakikisha utawala wa ukandamizaji, uonevu na ubaguzi wa huduma za jamii unakomeshwa katika visiwa vya Unguja na Pemba kwa sera ya mapinduzi ya ukombozi na kazi iliyobaki ni kujenga uchumi na maendeleo.

Anatoa angalizo, "Ni vyema kwa watendaji waliopewa dhamana katika Serikali na taasisi za umma kuhakikisha wanatimiza wajibu wao kwa kumsaidia Rais Dk. Mwinyi ili akamilikshe kazi ya kutekeleza mapinduzi ya kiuchumi na kuongeza Kasi ya kuleta maendeleo."

"Kazi ya kumwondoa mkoloni aliyetawala kwa ubaguzi na ukandamizaji imemalizika. Kazi iliyobaki ni kuongoza kwa haki, umoja na maendeleo. Kukumbuka madhila yaliyokuwepo kabla ya mapinduzi kunatupa ari ya kufikia mabadiliko tuanayoyataka,

Baada ya kufanikisha mapinduzi ya mwaka 1964 na utawala kushikwa na ASP, Rais wa kwanza wa Zanzibar hayati Mzee Abeid Amani Karume alianza utekelezaji wa sera za maendeleo ikiwemo kutolewa bure kwa huduma za msingi"

Shaka anajivunia kazi kubwa ya CCM "Elimu imetolewa bure, maji safi na matibabu, serikali ikaweka viwango vya mishahara minono kwa mujibu wa ajira ya kila mfanyakazi, yamejengwa makaazi ya kisasa na sasa kazi hiyo inaendelezwa na serikali ya Rais Dk. Mwinyi,"

"Ni waombe watanzania wenzangu hasa vijana kutobabaishwa na porojo za baadhi ya wapinga maendeleo na mapinduzi matukufu ya 1964 ambao wamekuwa wapotoshaji wa ukweli kwa kudai serikali za CCM hazijafanya lolote tangu mwaka 1964 wakati asiliamia 98 ya maendeleo yaliyofanyika nchini yamepatikana katika utawala wa Chama Cha Mapinduzi" alihitimisha Ndg Shaka Hamdu Shaka, katibu wa NEC itikadi & Uenezi CCM Taifa.
Comrade shaka mfuatilie mtu anaitwa shehe ponda mtandaoni anasema mapinduzi yachunguzwe Kwa kweli anapindisha historia
 
Uongo mwingine bana, watu wachache walimpindua Waziri Mkuu Sheikh Shamte aliyechaguliwa na Kura halali za Wananchi.. Baadae wakaingizwa mkenge na Mzee wamerudi kule kule kwa mwanzo 😂😂 kuwa KOLONI 🤣🤣🤣
 

Na Mwandishi wetu Z'bar

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinajivunia mabadiliko makubwa yaliyofikiwa Zanzibar katika kipindi cha miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ambayo yamewafanya wananchi kujiamini na kujiitegemea kimaendeleo alisema Shaka Hamdu Shaka, Mwenezi CCM Taifa

Aliendelea kwa kusema Zanzibar imepiga hatua kubwa sana na Chama Cha Mapinduzi inatoa pongezi za dhati kwa kazi kubwa iliyokwishafanywa na inayoendelea kufanywa na serikali ya awamu ya nane chini ya Rais Dk. Hussein Ali Mwinyi, ikiendelea kuunga mkono juhudi za kukomesha ukandamizaji wa haki , ubaguzi, Dhulma na manyanyaso

Katika kipindi cha miaka 59 ya Mapinduzi matukufu licha ya kuleta ukombozi kamili lakini pia yamewafanya wananachi kuwa na fikra huru na kujitawala alisisitiza kwa unyenyekevu Ndg
Shaka Hamdu Shaka katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM Taifa

Kabla ya mapinduzi lipo tabaka lilokandamiza, kubagua na kuwapuuza wengine huku wananachi wakikosa haki za msingi na kutotumia fursa za kiuchumi sawa na utu wao kutothaminiwa, na kupuuzwa alisisitiza Ndg Shaka Hamdu Shaka ambie pia ni Msemaji wa CCM Taifa

Aliendelea kusema, Mapinduzi ya mwaka 1964 ni ushahidi kuwa Zanzibar ilikuwa na watu waliokoseshwa elimu bora, kutomiliki uchumi, ardhi, kukosa makaazi bora na kunyimwa huduma za jamii

Hata hivyo Serikali zote SMZ (Serikali ya Mapinduzi Zanzibar) na SMT (Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) zimetimiza wajibu wa kusimamia maendeleo. Rais Dk. Samia Suluhu Hassan na Rais Dk. Mwinyi baada ya miaka 59 wametafsiri mapinduzi ya ukombozi kuwa Mapinduzi ya kiuchumi. Maendeleo yanayoonekana sasa hayakuwepo miaka 200 ya utawala wa kikoloni

Anasema, Kazi kubwa iliyofanywa na Chama cha ASP ilikuwa kuhakikisha utawala wa ukandamizaji, uonevu na ubaguzi wa huduma za jamii unakomeshwa katika visiwa vya Unguja na Pemba kwa sera ya mapinduzi ya ukombozi na kazi iliyobaki ni kujenga uchumi na maendeleo.

Anatoa angalizo, "Ni vyema kwa watendaji waliopewa dhamana katika Serikali na taasisi za umma kuhakikisha wanatimiza wajibu wao kwa kumsaidia Rais Dk. Mwinyi ili akamilikshe kazi ya kutekeleza mapinduzi ya kiuchumi na kuongeza Kasi ya kuleta maendeleo."

"Kazi ya kumwondoa mkoloni aliyetawala kwa ubaguzi na ukandamizaji imemalizika. Kazi iliyobaki ni kuongoza kwa haki, umoja na maendeleo. Kukumbuka madhila yaliyokuwepo kabla ya mapinduzi kunatupa ari ya kufikia mabadiliko tuanayoyataka,

Baada ya kufanikisha mapinduzi ya mwaka 1964 na utawala kushikwa na ASP, Rais wa kwanza wa Zanzibar hayati Mzee Abeid Amani Karume alianza utekelezaji wa sera za maendeleo ikiwemo kutolewa bure kwa huduma za msingi"

Shaka anajivunia kazi kubwa ya CCM "Elimu imetolewa bure, maji safi na matibabu, serikali ikaweka viwango vya mishahara minono kwa mujibu wa ajira ya kila mfanyakazi, yamejengwa makaazi ya kisasa na sasa kazi hiyo inaendelezwa na serikali ya Rais Dk. Mwinyi,"

"Ni waombe watanzania wenzangu hasa vijana kutobabaishwa na porojo za baadhi ya wapinga maendeleo na mapinduzi matukufu ya 1964 ambao wamekuwa wapotoshaji wa ukweli kwa kudai serikali za CCM hazijafanya lolote tangu mwaka 1964 wakati asiliamia 98 ya maendeleo yaliyofanyika nchini yamepatikana katika utawala wa Chama Cha Mapinduzi" alihitimisha Ndg Shaka Hamdu Shaka, katibu wa NEC itikadi & Uenezi CCM Taifa.
Wapemba wengi wasingependa kusikia ukweli huu. Hata mabaki ya waarabu kadhalika.
 
Wewe ni Baaliyesu
Sisi tunamsifu Yesu Kristo aliye hai Mungu mkuu
YESU SI MUNGU BALI NI MTUME WA MUNGU

- Tufunue Yohana 17 : 3

"Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma."

- Tusome Yohana 5 : 30

"Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka."

- Tuangalie Yohana 7 : 16

" Basi Yesu akawajibu, akasema, Mafunzo yangu si yangu mimi, ila ni yake yeye aliyenipeleka."

- Tutupe jicho katika Yohana 8 : 40

" Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi, mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu. Ibrahimu hakufanya hivyo."

- Tuteremke katika Yohana 8 : 42

"Yesu akawaambia, Kama Mungu angekuwa baba yenu, mngenipenda mimi; kwa maana nalitoka kwa Mungu, nami nimekuja; wala sikuja kwa nafsi yangu, bali yeye ndiye aliyenituma."

- Tugeukie Yohana 12 : 44

"Naye Yesu akapaza sauti, akasema, Yeye aniaminiye mimi, haniamini mimi bali yeye aliyenipeleka."

- Twendee Yohana 14 : 24

"Mtu asiyenipenda, yeye hayashiki maneno yangu; nalo neno mnalolisikia silo langu, ila ni lake Baba aliyenipeleka."

- Yohana 17 : 6 - 8

"Jina lako nimewadhihirishia watu wale ulionipa katika ulimwengu; walikuwa wako, ukanipa mimi, na neno lako wamelishika.
Sasa wamejua ya kuwa yote uliyonipa yatoka kwako.
Kwa kuwa maneno uliyonipa nimewapa wao; nao wakayapokea, wakajua hakika ya kuwa nalitoka kwako, wakasadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma.

- Yohana 20 : 17

"Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu."

- Luka 18 : 18 - 19

"Tena, mtu mkubwa mmoja alimwuliza, akisema, Mwalimu mwema, nifanye nini ili nipate kuurithi uzima wa milele?"
 
Hakika na hii yote inasababishwa na chama tawala...
 
Back
Top Bottom