Hiki unazungumza ni Uchochezi tu mkuu,
..una umri gani?
..tafuta kisa cha kupotea Abdulah Kassim Hanga na wenzake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki unazungumza ni Uchochezi tu mkuu,
NailedShaka ni kiongozi,
Huyu kijana anahekima sana,Kauli zake zinavutia na kuhamasisha Uzalendo kwa Taifa,
Mungu bariki Mapinduzi matukufu,
Na Mwandishi wetu Z'bar
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinajivunia mabadiliko makubwa yaliyofikiwa Zanzibar katika kipindi cha miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ambayo yamewafanya wananchi kujiamini na kujiitegemea kimaendeleo alisema Shaka Hamdu Shaka, Mwenezi CCM Taifa
Aliendelea kwa kusema Zanzibar imepiga hatua kubwa sana na Chama Cha Mapinduzi inatoa pongezi za dhati kwa kazi kubwa iliyokwishafanywa na inayoendelea kufanywa na serikali ya awamu ya nane chini ya Rais Dk. Hussein Ali Mwinyi, ikiendelea kuunga mkono juhudi za kukomesha ukandamizaji wa haki , ubaguzi, Dhulma na manyanyaso
Katika kipindi cha miaka 59 ya Mapinduzi matukufu licha ya kuleta ukombozi kamili lakini pia yamewafanya wananachi kuwa na fikra huru na kujitawala alisisitiza kwa unyenyekevu Ndg
Shaka Hamdu Shaka katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM Taifa
Kabla ya mapinduzi lipo tabaka lilokandamiza, kubagua na kuwapuuza wengine huku wananachi wakikosa haki za msingi na kutotumia fursa za kiuchumi sawa na utu wao kutothaminiwa, na kupuuzwa alisisitiza Ndg Shaka Hamdu Shaka ambie pia ni Msemaji wa CCM Taifa
Aliendelea kusema, Mapinduzi ya mwaka 1964 ni ushahidi kuwa Zanzibar ilikuwa na watu waliokoseshwa elimu bora, kutomiliki uchumi, ardhi, kukosa makaazi bora na kunyimwa huduma za jamii
Hata hivyo Serikali zote SMZ (Serikali ya Mapinduzi Zanzibar) na SMT (Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) zimetimiza wajibu wa kusimamia maendeleo. Rais Dk. Samia Suluhu Hassan na Rais Dk. Mwinyi baada ya miaka 59 wametafsiri mapinduzi ya ukombozi kuwa Mapinduzi ya kiuchumi. Maendeleo yanayoonekana sasa hayakuwepo miaka 200 ya utawala wa kikoloni
Anasema, Kazi kubwa iliyofanywa na Chama cha ASP ilikuwa kuhakikisha utawala wa ukandamizaji, uonevu na ubaguzi wa huduma za jamii unakomeshwa katika visiwa vya Unguja na Pemba kwa sera ya mapinduzi ya ukombozi na kazi iliyobaki ni kujenga uchumi na maendeleo.
Anatoa angalizo, "Ni vyema kwa watendaji waliopewa dhamana katika Serikali na taasisi za umma kuhakikisha wanatimiza wajibu wao kwa kumsaidia Rais Dk. Mwinyi ili akamilikshe kazi ya kutekeleza mapinduzi ya kiuchumi na kuongeza Kasi ya kuleta maendeleo."
"Kazi ya kumwondoa mkoloni aliyetawala kwa ubaguzi na ukandamizaji imemalizika. Kazi iliyobaki ni kuongoza kwa haki, umoja na maendeleo. Kukumbuka madhila yaliyokuwepo kabla ya mapinduzi kunatupa ari ya kufikia mabadiliko tuanayoyataka,
Baada ya kufanikisha mapinduzi ya mwaka 1964 na utawala kushikwa na ASP, Rais wa kwanza wa Zanzibar hayati Mzee Abeid Amani Karume alianza utekelezaji wa sera za maendeleo ikiwemo kutolewa bure kwa huduma za msingi"
Shaka anajivunia kazi kubwa ya CCM "Elimu imetolewa bure, maji safi na matibabu, serikali ikaweka viwango vya mishahara minono kwa mujibu wa ajira ya kila mfanyakazi, yamejengwa makaazi ya kisasa na sasa kazi hiyo inaendelezwa na serikali ya Rais Dk. Mwinyi,"
"Ni waombe watanzania wenzangu hasa vijana kutobabaishwa na porojo za baadhi ya wapinga maendeleo na mapinduzi matukufu ya 1964 ambao wamekuwa wapotoshaji wa ukweli kwa kudai serikali za CCM hazijafanya lolote tangu mwaka 1964 wakati asiliamia 98 ya maendeleo yaliyofanyika nchini yamepatikana katika utawala wa Chama Cha Mapinduzi" alihitimisha Ndg Shaka Hamdu Shaka, katibu wa NEC itikadi & Uenezi CCM Taifa.
Comrade shaka mfuatilie mtu anaitwa shehe ponda mtandaoni anasema mapinduzi yachunguzwe Kwa kweli anapindisha historia
Na Mwandishi wetu Z'bar
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinajivunia mabadiliko makubwa yaliyofikiwa Zanzibar katika kipindi cha miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ambayo yamewafanya wananchi kujiamini na kujiitegemea kimaendeleo alisema Shaka Hamdu Shaka, Mwenezi CCM Taifa
Aliendelea kwa kusema Zanzibar imepiga hatua kubwa sana na Chama Cha Mapinduzi inatoa pongezi za dhati kwa kazi kubwa iliyokwishafanywa na inayoendelea kufanywa na serikali ya awamu ya nane chini ya Rais Dk. Hussein Ali Mwinyi, ikiendelea kuunga mkono juhudi za kukomesha ukandamizaji wa haki , ubaguzi, Dhulma na manyanyaso
Katika kipindi cha miaka 59 ya Mapinduzi matukufu licha ya kuleta ukombozi kamili lakini pia yamewafanya wananachi kuwa na fikra huru na kujitawala alisisitiza kwa unyenyekevu Ndg
Shaka Hamdu Shaka katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM Taifa
Kabla ya mapinduzi lipo tabaka lilokandamiza, kubagua na kuwapuuza wengine huku wananachi wakikosa haki za msingi na kutotumia fursa za kiuchumi sawa na utu wao kutothaminiwa, na kupuuzwa alisisitiza Ndg Shaka Hamdu Shaka ambie pia ni Msemaji wa CCM Taifa
Aliendelea kusema, Mapinduzi ya mwaka 1964 ni ushahidi kuwa Zanzibar ilikuwa na watu waliokoseshwa elimu bora, kutomiliki uchumi, ardhi, kukosa makaazi bora na kunyimwa huduma za jamii
Hata hivyo Serikali zote SMZ (Serikali ya Mapinduzi Zanzibar) na SMT (Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) zimetimiza wajibu wa kusimamia maendeleo. Rais Dk. Samia Suluhu Hassan na Rais Dk. Mwinyi baada ya miaka 59 wametafsiri mapinduzi ya ukombozi kuwa Mapinduzi ya kiuchumi. Maendeleo yanayoonekana sasa hayakuwepo miaka 200 ya utawala wa kikoloni
Anasema, Kazi kubwa iliyofanywa na Chama cha ASP ilikuwa kuhakikisha utawala wa ukandamizaji, uonevu na ubaguzi wa huduma za jamii unakomeshwa katika visiwa vya Unguja na Pemba kwa sera ya mapinduzi ya ukombozi na kazi iliyobaki ni kujenga uchumi na maendeleo.
Anatoa angalizo, "Ni vyema kwa watendaji waliopewa dhamana katika Serikali na taasisi za umma kuhakikisha wanatimiza wajibu wao kwa kumsaidia Rais Dk. Mwinyi ili akamilikshe kazi ya kutekeleza mapinduzi ya kiuchumi na kuongeza Kasi ya kuleta maendeleo."
"Kazi ya kumwondoa mkoloni aliyetawala kwa ubaguzi na ukandamizaji imemalizika. Kazi iliyobaki ni kuongoza kwa haki, umoja na maendeleo. Kukumbuka madhila yaliyokuwepo kabla ya mapinduzi kunatupa ari ya kufikia mabadiliko tuanayoyataka,
Baada ya kufanikisha mapinduzi ya mwaka 1964 na utawala kushikwa na ASP, Rais wa kwanza wa Zanzibar hayati Mzee Abeid Amani Karume alianza utekelezaji wa sera za maendeleo ikiwemo kutolewa bure kwa huduma za msingi"
Shaka anajivunia kazi kubwa ya CCM "Elimu imetolewa bure, maji safi na matibabu, serikali ikaweka viwango vya mishahara minono kwa mujibu wa ajira ya kila mfanyakazi, yamejengwa makaazi ya kisasa na sasa kazi hiyo inaendelezwa na serikali ya Rais Dk. Mwinyi,"
"Ni waombe watanzania wenzangu hasa vijana kutobabaishwa na porojo za baadhi ya wapinga maendeleo na mapinduzi matukufu ya 1964 ambao wamekuwa wapotoshaji wa ukweli kwa kudai serikali za CCM hazijafanya lolote tangu mwaka 1964 wakati asiliamia 98 ya maendeleo yaliyofanyika nchini yamepatikana katika utawala wa Chama Cha Mapinduzi" alihitimisha Ndg Shaka Hamdu Shaka, katibu wa NEC itikadi & Uenezi CCM Taifa.
Duh, huyo Binti Yuko hai kutoa ushahidiJanga Yuko wapi!?..yule binti wa kiajemi aliyeolewa na 'mzee' asubuhi akaachika kesho baada ya kuliwa usiku kucha ili tu kimuonesha yeye si lolote,unazijua khabari zake!?..
Walipatwa na masaibu gani..una umri gani?
..tafuta kisa cha kupotea Abdulah Kassim Hanga na wenzake.
Walipatwa na masaibu gani
Wapemba wengi wasingependa kusikia ukweli huu. Hata mabaki ya waarabu kadhalika.
Na Mwandishi wetu Z'bar
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinajivunia mabadiliko makubwa yaliyofikiwa Zanzibar katika kipindi cha miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ambayo yamewafanya wananchi kujiamini na kujiitegemea kimaendeleo alisema Shaka Hamdu Shaka, Mwenezi CCM Taifa
Aliendelea kwa kusema Zanzibar imepiga hatua kubwa sana na Chama Cha Mapinduzi inatoa pongezi za dhati kwa kazi kubwa iliyokwishafanywa na inayoendelea kufanywa na serikali ya awamu ya nane chini ya Rais Dk. Hussein Ali Mwinyi, ikiendelea kuunga mkono juhudi za kukomesha ukandamizaji wa haki , ubaguzi, Dhulma na manyanyaso
Katika kipindi cha miaka 59 ya Mapinduzi matukufu licha ya kuleta ukombozi kamili lakini pia yamewafanya wananachi kuwa na fikra huru na kujitawala alisisitiza kwa unyenyekevu Ndg
Shaka Hamdu Shaka katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM Taifa
Kabla ya mapinduzi lipo tabaka lilokandamiza, kubagua na kuwapuuza wengine huku wananachi wakikosa haki za msingi na kutotumia fursa za kiuchumi sawa na utu wao kutothaminiwa, na kupuuzwa alisisitiza Ndg Shaka Hamdu Shaka ambie pia ni Msemaji wa CCM Taifa
Aliendelea kusema, Mapinduzi ya mwaka 1964 ni ushahidi kuwa Zanzibar ilikuwa na watu waliokoseshwa elimu bora, kutomiliki uchumi, ardhi, kukosa makaazi bora na kunyimwa huduma za jamii
Hata hivyo Serikali zote SMZ (Serikali ya Mapinduzi Zanzibar) na SMT (Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) zimetimiza wajibu wa kusimamia maendeleo. Rais Dk. Samia Suluhu Hassan na Rais Dk. Mwinyi baada ya miaka 59 wametafsiri mapinduzi ya ukombozi kuwa Mapinduzi ya kiuchumi. Maendeleo yanayoonekana sasa hayakuwepo miaka 200 ya utawala wa kikoloni
Anasema, Kazi kubwa iliyofanywa na Chama cha ASP ilikuwa kuhakikisha utawala wa ukandamizaji, uonevu na ubaguzi wa huduma za jamii unakomeshwa katika visiwa vya Unguja na Pemba kwa sera ya mapinduzi ya ukombozi na kazi iliyobaki ni kujenga uchumi na maendeleo.
Anatoa angalizo, "Ni vyema kwa watendaji waliopewa dhamana katika Serikali na taasisi za umma kuhakikisha wanatimiza wajibu wao kwa kumsaidia Rais Dk. Mwinyi ili akamilikshe kazi ya kutekeleza mapinduzi ya kiuchumi na kuongeza Kasi ya kuleta maendeleo."
"Kazi ya kumwondoa mkoloni aliyetawala kwa ubaguzi na ukandamizaji imemalizika. Kazi iliyobaki ni kuongoza kwa haki, umoja na maendeleo. Kukumbuka madhila yaliyokuwepo kabla ya mapinduzi kunatupa ari ya kufikia mabadiliko tuanayoyataka,
Baada ya kufanikisha mapinduzi ya mwaka 1964 na utawala kushikwa na ASP, Rais wa kwanza wa Zanzibar hayati Mzee Abeid Amani Karume alianza utekelezaji wa sera za maendeleo ikiwemo kutolewa bure kwa huduma za msingi"
Shaka anajivunia kazi kubwa ya CCM "Elimu imetolewa bure, maji safi na matibabu, serikali ikaweka viwango vya mishahara minono kwa mujibu wa ajira ya kila mfanyakazi, yamejengwa makaazi ya kisasa na sasa kazi hiyo inaendelezwa na serikali ya Rais Dk. Mwinyi,"
"Ni waombe watanzania wenzangu hasa vijana kutobabaishwa na porojo za baadhi ya wapinga maendeleo na mapinduzi matukufu ya 1964 ambao wamekuwa wapotoshaji wa ukweli kwa kudai serikali za CCM hazijafanya lolote tangu mwaka 1964 wakati asiliamia 98 ya maendeleo yaliyofanyika nchini yamepatikana katika utawala wa Chama Cha Mapinduzi" alihitimisha Ndg Shaka Hamdu Shaka, katibu wa NEC itikadi & Uenezi CCM Taifa.
Wapemba wengi wasingependa kusikia ukweli huu. Hata mabaki ya waarabu kadhalika.
Wapi alisema mnisifu Mimi Yesu ? Mbona mnampakaziaAmina
Tumsifu yeye na utukufu umrudie yeye siku zote
Wapi alisema mnisifu Mimi Yesu ? Mbona mnampakazia
Alisema wapi maneno hayo?Wewe ni Baaliyesu
Sisi tunamsifu Yesu Kristo aliye hai Mungu mkuu
ivi mama D Uko Tanzania hii?Wewe ni Baaliyesu
Sisi tunamsifu Yesu Kristo aliye hai Mungu mkuu
ivi mama D Uko Tanzania hii?
Hahaha mambo gani mama,Swahiba na mimi najiuliza hivyohivyo
Uko wapi!? Hebu fanya mambo
YESU SI MUNGU BALI NI MTUME WA MUNGUWewe ni Baaliyesu
Sisi tunamsifu Yesu Kristo aliye hai Mungu mkuu