Shaka: Nchi tatu zinajadili ili Samia awe Rais wao

Shaka: Nchi tatu zinajadili ili Samia awe Rais wao

Stupid, Yale Yale ya enzi za Magufuli eti Kuna nchi zinatamani awe Rais wao. Yanarudi Tena, Chawa kafilie kwa.mbali
 
Haya maneno mengine ni kama mtu alikosa cha kuongea mwisho akaropoka bila kujijua, nina uhakika hata Mh. Mwenyewe anaona aibu kwa hii kauli, maana anajua hakuna anayemtaka kama alivyosema msemaji wa CCM.
Kama huko akilini mwangu vile, na ukiona mtu anasema maneno ya hivyo jukwaani jua kichwani hakuna kitu, watafute mwenezi mwingine.
 
Amezitaja? Kama kuna mtu aliyekaribu na Shaka amkumbushe aluyoyaongea.
 
Back
Top Bottom