Shaka: Rais Samia ameongeza TZS 700B kwenye kilimo ilikulikabili tatizo la ajira kwa vijana wetu, Bajeti yafikia TZS 954B toka TZS254B

Shaka ni jembe Sana aise
 
Chama chenye vijana wenye maono cha CCM
 
Shaka anafanya kazi mno aise
 
Shaka is doing good,
 
Harafu mavijana yaache kuchangamkia fursa yabakie kushabikia upuuzi wa chadomo,watapiga miayo mpaka akili ziwakae sawa..
Hizo hela si za kuropoka 😂😂😂 ni sawa na wana JF wanavyojimwambafy kama wote wanatokea ushuani Masaki 😂😂😂
 
Huyu mama anapesa Sana kwenye account yake, na mfukoni mwake Yani ni mwendo wa kutoa tu
 
Asante sana Mama Samia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…